Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: June 2024

  • Home
  • 2024
  • June
  • Page 14
Habari

RC Singida-wakuu wa idara watakaozalisha hoja za CAG wawajibishwe

June 29, 2024 Admin

Mkuu wa Mkoa wa Singida Halima Dendego, ameagiza kuchukuliwa hatua kwa Wakuu wa Idara ambao watazalisha hoja mpya za Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu

Read More
Habari

Wanawake watafuta kadi zaidi ya moja kwa ajili ya mtoto na kuwapa wanaume ili wasaidie malezi

June 29, 2024 Admin

Ili kuimarisha makuzi na malezi ya watoto na kutengeneza kizazi salama,wanawake wametakiwa kuacha kuwatumia watoto kama biashara kwa kutengeneza kadi zaidi ya moja na kuwakabidhi

Read More
Habari

DC kilosa Shaka Hamdu Shaka ataka wananchi kutunza miradi ya maendeleo

June 29, 2024 Admin

Mkuu wa Wilaya ya Kilosa shaka hamdu shaka amewataka wananchi wa kata za Ulaya na Zombo kutunza Miundombinu ya miradi Mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa katika

Read More
Habari

Kuchota maji bure kunadhoofisha miradi ya maji

June 29, 2024 Admin

Licha ya Serikali kuhakikisha wananchi wanapata huduma ya maji kwa asilimia mia na kupitia Mpango wa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt Samia

Read More
Habari

TIRA kutumia maonesho ya kimataifa ya 48 ya sababa kuongeza elimu ya Bima kwa Watanzania

June 29, 2024 Admin

Mamlaka ya usimamizi wa Bima nchini TIRA imesema inalenga kutumia maonesho ya kimataifa ya 48 ya sababa kuongeza elimu ya Bima kwa Tanzania kutoka asilimia

Read More
Habari

TAASISI ZA UMMA ZASISITIZWA UMUHIMU WA MFUMO WA NeST-TWAMALA

June 29, 2024 Admin

      Kaimu Katibu Tawala ,Mkoa wa Pwani ,Shangwe Twamala amesisitiza ulazima wa Taasisi za Umma kutumia mfumo wa kielektroniki wa ununuzi wa Umma

Read More
Habari

MAABARA YA MUHIMBILI MLOGANZILA YAPAA KWA UBORA KIMATAIFA

June 29, 2024 Admin

    Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila kwa mara nyingine imepata cheti cha Ithibati ya Ubora Kimataifa kutoka Shirika la Viwango vya Ukaguzi Kimataifa (SADCAS) kwa

Read More
Habari

Ghazouani atafuta muhula wa pili uchaguzi wa Mauritania – DW – 29.06.2024

June 29, 2024 Admin

Ghazouani, mwenye umri wa miaka 67, mwanajeshi wa zamani wa ngazi ya juu, ameahidi kuharakisha uwekezaji ili kuchochoea uongezeko la bei na mahitaji ya bidhaa

Read More
Michezo

Kocha Nabi afunguka walivyomalizana na Inonga

June 29, 2024 Admin

KOCHA wa zamani wa Yanga, Nasreddine Nabi amesema wala sio ishu mpya kwa beki Mkongomani kusajiliwa FAR Rabat ya Morocco, kwani jamaa alishamalizana nao kitambo

Read More
Michezo

Hatima ya Guede yaibua makundi mawili Yanga

June 29, 2024 Admin

KUMEZUKA makundi mawili ndani ya Yanga juu ya hatima ya mshambuliaji Joseph Guede, huku kila moja likiwa na hoja zake kwamba jamaa abaki au apewe

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 13 14 15 … 263 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.