Tshabalala apewa mtihami Simba, aletewa chuma

WAKATI Simba ikiendelea kuweka mambo sawa katika dirisha hili la usajili linaloendelea, imeshusha chuma ambacho ujio wake unatajwa kuwa unakwenda kuleta changamoto kwa nahodha msaidizi wa timu hiyo, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ katika eneo analocheza la beki wa kushoto. Hatua hiyo imekuja ikiwa ni baada ya miaka zaidi ya sita kupita ikimshuhudia Tshabalala akitamba atakavyo katika…

Read More

AMERICARES YATOA MATIBABU BILA MALIPO KWA WAGONJWA WA FISTULA MKOANI SHINYANGA

Na Mwandishi wetu – Malunde 1 blog Shirikala Americares limeendesha zoezi la utoaji wa huduma ya matibabu ya bila malipona kufanya operesheni ya ugonjwa wa fistula kwa kina mama waliobainika kuwa naugonjwa huo ndani ya mkoa wa Shinyanga. Zoezihilo la matibabu limefanyika kwa muda wa siku tatu katika hospitali ya Rufaaya Mkoa wa Shinyanga iliyopo kata ya Mwawaza manispaa ya Shinyanga….

Read More

SPIKA WA BUNGE AKUTANA NA MKURUGENZI MKUU WA NSSF

  Na MWANDISHI WETU, Dodoma. Spika wa Bunge laJamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amekutana nakufanya mazungumzo na Bw. Masha Mshomba, Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko waTaifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), baada ya kuhitimisha Bunge JijiniDodoma, tarehe 28 Juni, 2024.Mazungumzo hayo yalihusuutaratibu wa ulipaji mafao ambao NSSF imeendelea kuuboresha kupitiamifumo ya TEHAMA. …

Read More