
Tshabalala apewa mtihami Simba, aletewa chuma
WAKATI Simba ikiendelea kuweka mambo sawa katika dirisha hili la usajili linaloendelea, imeshusha chuma ambacho ujio wake unatajwa kuwa unakwenda kuleta changamoto kwa nahodha msaidizi wa timu hiyo, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ katika eneo analocheza la beki wa kushoto. Hatua hiyo imekuja ikiwa ni baada ya miaka zaidi ya sita kupita ikimshuhudia Tshabalala akitamba atakavyo katika…