Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: June 2024

  • Home
  • 2024
  • June
  • Page 16
Habari

Serikali ilivyojipanga uboreshaji milki za ardhi

June 28, 2024 Admin

Dodoma. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali imesaini mkataba wa Sh346 bilioni na Benki ya Dunia (WB) kwa ajili ya utekelezaji wa Mradi wa Uboreshaji

Read More
Habari

Jeshi la Polisi lapiga marufuku kumiliki gobore, laruhusu Shortgun

June 28, 2024 Admin

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi limepiga marufuku kampuni binafsi za ulinzi zinazotumia silaha zilizotengenezwa kienyeji (Gobore), badala yake imeshauriwa kufuata utaratibu wa kisheria wa

Read More
Habari

Wananchi Mbeya wahaha kusaka maji usiku

June 28, 2024 Admin

Mbeya. Wananchi wa mitaa ya Mponzi, Sinde, Chaula na Makunguru jijini Mbeya wameendelea kusotea huduma ya maji kwa zaidi ya miezi miwili tangu kukatika kwake,

Read More
Habari

Serikali, mabalozi kukutana kujadili changamoto za uwekezaji

June 28, 2024 Admin

Dar es Salaam. Wakati mabalozi wanaowakilisha mataifa yao Tanzania wameomba kukutana na Serikali kujadili changamoto zinazowakabili wawekezaji wa kigeni, Serikali imesema imelichukua suala hilo kwa

Read More
Habari

Pingamizi mgombea ADC lapuuzwa, wanachama 197 kuamua

June 28, 2024 Admin

Dar es Salaam. Wakati wapiga kura 197 wakitarajia kufanya uamuzi wa kikatiba kumchagua mwenyekiti mpya wa Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Kamati ya

Read More
Habari

Serikali yakiri upungufu wa maprofesa, yaanika mikakati kuukabili

June 28, 2024 Admin

Dar es Salaam. Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Carolyne Nombo amekiri kwamba kuna uhaba wa wahadhiri nchini, hata hivyo amesema Serikali

Read More
Habari

BUNGE LAIDHINISHA MUSWADA WA SHERIA YA FEDHA WA MWAKA 2024

June 28, 2024 Admin

Waziri wa Fedha Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akisoma Muswada wa Sheria ya Fedha wa mwaka 2024, ambao umepitishwa na Bunge baada ya kujadiliwa

Read More
Habari

Kaya 394,000 kuchomolewa orodha ya Tasaf

June 28, 2024 Admin

Iringa. Baada ya tathmini kuonyesha kaya 394,000 zimeweza kujimudu kiuchumi, Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf) unatarajia kuziondoa katika mpango huo. Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa

Read More
Habari

Biashara Tunduma zarejea maduka yafunguliwa

June 28, 2024 Admin

Wafanyabiashara wa mkoa wa Songwe katika masoko yaliyopo Tunduma wilayani Momba wameungana na wenzao wa mikoa mingine ikiwemo Kariakoo kufungua maduka baada ya serikari kuahidi

Read More
Habari

Washtakiwa mauaji ya Milembe wajitetea, waomba kuachiwa huru

June 28, 2024 Admin

Geita. Washtakiwa wanne wanaodaiwa kumuua Milembe Suleman (43) kwa kumkata na kitu chenye ncha kali, wamejitetea wakieleza kutohusika na tukio hilo, wakiiomba mahakama iwaachie huru.

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 15 16 17 … 263 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.