
NHIF YAINGIA MAKUBALIANO NA ZHSF
MKURUGENZI Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF),Bw.Bernard Konga (kulia) na Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Huduma za Afya Zanzibar (ZHSF),Yaasin Juma,wakisaini (kuhsoto) wakibadilishana Mkataba wa mashirikiano ya utoaji huduma za Afya kati ya Taasisi hizo mbili ,hafla iliyofanyika leo Juni 28,2024 jijini Dodoma. MKURUGENZI Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima…