Ajibu aikacha Coastal akimbilia jeshini

KIUNGO mshambuliaji wa zamani wa Simba, Yanga, Azam na Singida FG aliyekuwa akikipiga Coastal Union, Ibrahim Ajibu amesaini mkataba wa miaka miwili na maafande wa JKT Tanzania. Ajibu aliyeichezea Coastal kwa mafanikio akiwa nahodha akisaidiana na wenzake waliifanya timu hiyo imalize ya nne katika Ligi Kuu Bara hivi karibuni na kukata tiketi ya Kombe la…

Read More

Watu 20,000 wapatiwa matibabu kambi madaktari bingwa Arusha

Arusha. Wananchi 20,000 wamehudumiwa katika kambi ya matibabu ya madaktari bingwa na wabobezi inayoendelea katika viwanja vya Sheikh Amri Abeid, jijini Arusha. Akizungumza leo Ijumaa Juni 28, 2024, viwanjani hapo, Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amesema tangu kuanza kwa kambi hiyo Juni 24 hadi 27, 2024, wananchi 20,000 wamepatiwa vipimo, matibabu na dawa….

Read More

Padri, baba wasomewa shtaka mauaji ya Asimwe

Bukoba. Watu tisa wamefikishwa mahakamani wakishtakiwa kwa kosa la mauaji ya kukusudia ya Asimwe Novath (2), mtoto mwenye ualbino akiwamo Paroko Paroko Msaidizi Elipidius Rwegashora wa Parokia ya Bagandika wilayani Misenyi Mkoa wa Kagera.    Washtakiwa hao wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Bukoba na kusomewa shtaka la mauaji ya kukusudia ya mtoto huyo. Asimwe…

Read More

Mcameroon arejea Coastal Union | Mwanaspoti

COASTAL Union imeanza kusuka kikosi kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara na Kombe la Shirikisho Afrika, na tayari imemsainisha mkataba wa mkopo wa mwaka mmoja, mshambuliaji Amza Moubarack kutoka Singida Black Stars. Msimu uliomalizika hivi karibuni Amza alimaliza na mabao manne akiwa na Kagera Sugar aliyoichezea kwa mkopo akitokea Singida iliyokuwa ikiitwa…

Read More

Wasudan waipora Simba mido wa boli

MIAMBA ya soka la Sudan, Al Hilal Omdurman imeizidi kete Simba katika mbio za kuwania saini ya kiungo, Serge Pokou aliyekuwa akihusishwa nao katika mpango wa kukiimarisha upya kikosi kipya msimu ujao. Awali Simba ndio iliyokuwa  ikiongoza vita hiyo ya kumnasa fundi huyo kutoka ASEC Mimosas, lakini Wasudan hao wameingilia kati dili hilo na kumwaga…

Read More