Mtoto wa siku moja atupwa kwenye ndoo Moro

Morogoro. Mwili wa mtoto mchanga (Kichanga) umeokotwa leo juni 28, baada ya kutelekezwa daraja la Kasanga Msikitini, Barabara ya Kuu ya Morogoro Iringa Mtaa wa Mgaza Kata ya Mindu Manispaa ya Morogoro na mtu ambaye hakufahamika. Akizungumza na Mwananchi Digital leo juni 28, Mwenyekiti wa Serikali ya mtaa wa  Mtaa wa Mgaza Spesioza Sylivestre amethibitisha…

Read More

Serikali yawakumbuka waathirika wa mafuriko Bukoba

Bukoba. Kaya 49 zenye watu 147 zilizoathirika na mafuriko katika manispaa ya Bukoba mkoani Kagera, wamekumbukwa na Serikali kwa kupatiwa msaada wa vifaa na chakula. Kaya hizo ziliathiriwa na mvua iliyonyesha Mei 10, 2024 na kuleta  maafa katika Halmashauri ya manispaa ya Bukoba na kusababisha binti mmoja aliyetambulika kwa jina la Leah (19) kupoteza maisha….

Read More

Waathirika wa mafuriko Bukoba wapewa msaada

Bukoba. Kaya 49 zenye watu 147 zilizoathirika na mafuriko katika manispaa ya Bukoba mkoani Kagera, wamekumbukwa na Serikali kwa kupatiwa msaada wa vifaa na chakula. Kaya hizo ziliathiriwa na mvua iliyonyesha Mei 10, 2024 na kuleta  maafa katika Halmashauri ya manispaa ya Bukoba na kusababisha binti mmoja aliyetambulika kwa jina la Leah (19) kupoteza maisha….

Read More

Lebron, Mwanawe watakavyokipiga NBA | Mwanaspoti

REKODI mpya imewekwa kwenye mchezo wa mpira wa kikapu duniani, na hii imetokea kwenye Ligi ya NBA, baada ya jana Ijumaa, Los Angeles Lakers kumtambulisha kikosini mtoto wa nyota wa timu hiyo, LeBron James aitwaye, Bronny James kama mchezaji mpya wa timu hiyo msimu ujao. Bronny alizua gumzo baada ya kuchaguliwa kutoka katika drafti namba…

Read More

Mahakama Kenya yabariki jeshi kutuliza ghasia mtaani – DW – 28.06.2024

Mahakama nchini Kenya imeidhinisha uamuzi wa kutuma jeshikuimarisha juhudi za polisi, huku maandamano ya kuupinga muswada wa fedha wenye utata ambao serikali imeahidi kuuondoa, yakiendelea. Baada ya mafanikio ya kushangaza ya kuilazimu serikali ya Kenya kusitisha uidhinishaji wa muswada wa fedha wa kuongeza kodi ya dola bilioni 2.7, wanaharakati vijana wa Kenya wanaweka mtazamo wao…

Read More

Wabunge wahoji ugawaji wa maeneo ya utawala

Dodoma. Wakati baadhi ya wabunge wakihoji kuhusiana na ugawaji wa maeneo ya utawala, Serikali imesema kwa sasa kipaumbele kimewekwa katika uboreshaji wa miundombinu kwenye maeneo hayo. Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Miko ana Serikali za Mitaa (Tamisemi), Dk Festo Dugange ameyasema hayo leo Ijumaa Juni 28, 2024 wakati akijibu swali la…

Read More

Bocco kukabidhiwa unahodha JKT, Ilanfya ndani

MSHAMBULIAJI John Bocco anatarajiwa kutangazwa wakati wowote kuanzia sasa na JKT Tanzania na tayari amepiga picha za utambulisho na kaingiziwa pesa zake za usajili. Mwanaspoti imepata taarifa za ndani kutoka kwa uongozi wa timu hiyo zikieleza kwamba Bocco ndiye atakayekuwa nahodha mpya wa kikosi hicho. Bocco amesajiliwa na JKT Tanzania kwa mkataba wa mwaka mmoja…

Read More