Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: June 2024

  • Home
  • 2024
  • June
  • Page 19
Habari

Mtoto wa siku moja atupwa kwenye ndoo Moro

June 28, 2024 Admin

Morogoro. Mwili wa mtoto mchanga (Kichanga) umeokotwa leo juni 28, baada ya kutelekezwa daraja la Kasanga Msikitini, Barabara ya Kuu ya Morogoro Iringa Mtaa wa

Read More
Michezo

NYUMA YA PAZIA: Hakimi alivyokwepa kutoka jasho Ujerumani akakimbilia Arusha

June 28, 2024 Admin

NIMEMUONA Achraf Hakimi Mouh akizurura pale Arusha. Kuzurura? Hapana! Sio neno zuri hasa ukizingatia kwamba ametoa kiasi cha Sh1 bilioni kusaidia watoto wenye uhitaji katika

Read More
Habari

Biashara Uganda zaathirika na maandamano ya Kenya – DW – 28.06.2024

June 28, 2024 Admin

Kuna msemo kwamba Kenya ikipiga chafya Uganda hupata mafua. Hii ni kutokana na utegemazi mkubwa wa Uganda kwa Kenya kama njia ya kuingiza au kuuza

Read More
Habari

Serikali yawakumbuka waathirika wa mafuriko Bukoba

June 28, 2024 Admin

Bukoba. Kaya 49 zenye watu 147 zilizoathirika na mafuriko katika manispaa ya Bukoba mkoani Kagera, wamekumbukwa na Serikali kwa kupatiwa msaada wa vifaa na chakula.

Read More
Habari

Biden aboronga wakati Trump akitoa uongo mdahalo wa urais – DW – 28.06.2024

June 28, 2024 Admin

Juu ya yote, washirika wa Joe Biden walimtaka kuonyesha uthabiti na nguvu kwenyejukwaa la mdahalo jana usiku, ili kusaidia kutuliza maswali kuhusu uwezo wa kimwili

Read More
Habari

Waathirika wa mafuriko Bukoba wapewa msaada

June 28, 2024 Admin

Bukoba. Kaya 49 zenye watu 147 zilizoathirika na mafuriko katika manispaa ya Bukoba mkoani Kagera, wamekumbukwa na Serikali kwa kupatiwa msaada wa vifaa na chakula.

Read More
Michezo

Lebron, Mwanawe watakavyokipiga NBA | Mwanaspoti

June 28, 2024 Admin

REKODI mpya imewekwa kwenye mchezo wa mpira wa kikapu duniani, na hii imetokea kwenye Ligi ya NBA, baada ya jana Ijumaa, Los Angeles Lakers kumtambulisha

Read More
Habari

Mahakama Kenya yabariki jeshi kutuliza ghasia mtaani – DW – 28.06.2024

June 28, 2024 Admin

Mahakama nchini Kenya imeidhinisha uamuzi wa kutuma jeshikuimarisha juhudi za polisi, huku maandamano ya kuupinga muswada wa fedha wenye utata ambao serikali imeahidi kuuondoa, yakiendelea.

Read More
Habari

Wabunge wahoji ugawaji wa maeneo ya utawala

June 28, 2024 Admin

Dodoma. Wakati baadhi ya wabunge wakihoji kuhusiana na ugawaji wa maeneo ya utawala, Serikali imesema kwa sasa kipaumbele kimewekwa katika uboreshaji wa miundombinu kwenye maeneo

Read More
Michezo

Bocco kukabidhiwa unahodha JKT, Ilanfya ndani

June 28, 2024 Admin

MSHAMBULIAJI John Bocco anatarajiwa kutangazwa wakati wowote kuanzia sasa na JKT Tanzania na tayari amepiga picha za utambulisho na kaingiziwa pesa zake za usajili. Mwanaspoti

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 18 19 20 … 263 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.