Kanye West aripotiwa kutua Moscow Russia

Moscow. Rapa wa Kimarekani asiyeishiwa vituko kila kukicha, Kanye West ameripotiwa kuwepo jijini Moscow nchini Russia.  Kuwapo kwa nyota huyo wa muziki kutoka nchini Marekani, kumeripotiwa na vyombo vya habari vya nchini humo     leo Jumapili, Juni 30, 2024 vikimnukuu mtayarishaji maarufu wa muziki wa nchini humo, Yana Rudkovskaya. Kanye yupo nchini humo wakati wasanii wengi…

Read More

Banda asikilizia Qatar, Sauzi na Tanzania

BEKI Mtanzania aliyekuwa akikipiga katika klabu ya Richards Bay ya Afrika Kusini, Abdi Banda amesema kwa sasa anahitaji kusaka changamoto mpya ya ushindani katika timu nyingine. Banda amesema tayari ana ofa tatu mezani japokuwa hakutaja majina ya timu, ila Mwanaspoti linafahamu anazungumza na Singida Black Stars, timu kutoka Qatar na Afrika Kusini. “Mkataba wangu uliisha…

Read More