Bilioni 743 zatolewa kwa wanafunzi wa elimu ya juu

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema kwa mwaka 2023/2024 hadi kufikia Juni, 2024 jumla ya wanafunzi 224,056 wamepatiwa mikopo yenye jumla ya Sh 743.2 bilioni sawa na asilimia 94.6 ya fedha zilizotengwa kwa ajili ya mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Mikopo hiyo ni kwa ngazi ya stashahada, shahada ya…

Read More

Trump alivyomtoa mchezoni Biden kwenye mdahalo

Dar es Salaam. Kabla ya Alhamisi jioni, Wamarekani wengi walikuwa wameelezea wasiwasi wao kuhusu umri wa Rais wao, Joe Biden na ubora wa afya yake kwenye majukumu yake ya kiofisi. Biden aliingia kwenye mdahalo baina yake na Donald Trump akiwa na matarajio ya chini, na akateleza. Alikuwa mnyonge. Alikuwa anazungumza bila mpangilio na hana uwazi….

Read More

Simba Day Agosti 3 | Mwanaspoti

TAMASHA la ‘Simba Day’ mwaka huu litafanyika Agosti 3  kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam badala ya Agosti 8 kama ambavyo imezoeleka kila msimu. Tamasha hilo ambalo limekuwa maarufu nchini limepangwa kufanyika Agosti 3 kutokana na ratiba ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) inayohusiana na mechi za Ngao ya Jamii itakayopigwa kati…

Read More

Aliyeshtakiwa kwa tuhuma za kumuua mkewe aachiwa huru

Arusha. Mahakama Kuu Kanda ya Geita imemuachia huru Baraka Shija, aliyekuwa ameshtakiwa kwa kosa la kumuua mkewe, Grace Daudi baada upande wa mashtaka kushindwa kuthibitisha kosa na kuacha mashaka yaliyompa faida mshitakiwa. Hukumu hiyo ambayo imepatikana katika mtandao wa Mahakama jana, imetolewa Jumanne Juni 25, 2024 na Jaji Kelvin Mhina wa Mahakama hiyo, aliyekuwa akisikiliza…

Read More

RC Malima aagiza madiwani Gairo kununuliwa vishikwambi

Morogoro. Katika kuhakikisha utendaji unakwenda kwa kasi ya sayansi na teknolojia, Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Adam Malima amemuagiza mkurugenzi wa halmashauri ya Gairo, Sharifa Yusuph kuwanunulia madiwani wote vishikwambi. Malima amesema lengo la vishikwambi hivyo ni  kupunguza gharama za matumizi ya karatasi ili kuongeza ufanisi katika utendaji kazi kwenye halmashauri hiyo. Malima ameyasema hayo…

Read More

‘Wanafunzi feki 17’ wanaswa, wakifanya mitihani chuo kikuu

Dar es Salaam. Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) kimewakamata watu 17 wakijaribu kuwafanyia mitihani wanafunzi wa chuo hicho. Waliokamatwa imeelezwa walikuwa na vitambulisho vya kughushi na tiketi ya ukumbi wa mitihani. Kwa mujibu wa OUT watuhumiwa wamekatwa kuanzia Juni 18, 2024 katika vituo vya mitihani vya Ilala na Kinondoni. Watuhumiwa hao imeelezwa wapo mikononi…

Read More