Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: June 2024

  • Home
  • 2024
  • June
  • Page 20
Habari

Bilioni 743 zatolewa kwa wanafunzi wa elimu ya juu

June 28, 2024 Admin

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema kwa mwaka 2023/2024 hadi kufikia Juni, 2024 jumla ya wanafunzi 224,056 wamepatiwa mikopo yenye jumla ya Sh 743.2 bilioni sawa

Read More
Habari

Ujerumani chini ya shinikizo la wakimbizi wa Ukraine – DW – 28.06.2024

June 28, 2024 Admin

Akizungumza katika mahojiano na gazeti moja la nchini hapa mwishoni mwa wiki, kiongozi wa kundi la wabunge wa chama cha Christian Social Union, CSU Alexander

Read More
Habari

Trump alivyomtoa mchezoni Biden kwenye mdahalo

June 28, 2024 Admin

Dar es Salaam. Kabla ya Alhamisi jioni, Wamarekani wengi walikuwa wameelezea wasiwasi wao kuhusu umri wa Rais wao, Joe Biden na ubora wa afya yake

Read More
Michezo

Simba Day Agosti 3 | Mwanaspoti

June 28, 2024 Admin

TAMASHA la ‘Simba Day’ mwaka huu litafanyika Agosti 3  kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam badala ya Agosti 8 kama ambavyo imezoeleka

Read More
Habari

Aliyeshtakiwa kwa tuhuma za kumuua mkewe aachiwa huru

June 28, 2024 Admin

Arusha. Mahakama Kuu Kanda ya Geita imemuachia huru Baraka Shija, aliyekuwa ameshtakiwa kwa kosa la kumuua mkewe, Grace Daudi baada upande wa mashtaka kushindwa kuthibitisha

Read More
Habari

Wakulima wa pamba Shinyanga kicheko, kuuza kwa bei ya juu

June 28, 2024 Admin

Kahama. Wakulima wa pamba sasa kunufaika na ongezeko la Sh170 kwa kila kilo baada ya kampuni ya inayonunua zao hilo kuongeza kiasi hicho tofauti na

Read More
Habari

RC Malima aagiza madiwani Gairo kununuliwa vishikwambi

June 28, 2024 Admin

Morogoro. Katika kuhakikisha utendaji unakwenda kwa kasi ya sayansi na teknolojia, Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Adam Malima amemuagiza mkurugenzi wa halmashauri ya Gairo, Sharifa

Read More
Habari

Rais Samia mgeni rasmi kilele maadhimisho ya kupinga dawa za kulevya

June 28, 2024 Admin

Mwanza. Wakati Rais Samia Suluhu Hassan akitarajiwa kufunga kilele cha maadhimisho ya siku ya kimataifa ya kupiga vita matumizi ya dawa za kulevya jijini hapa,

Read More
Habari

‘Wanafunzi feki 17’ wanaswa, wakifanya mitihani chuo kikuu

June 28, 2024 Admin

Dar es Salaam. Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) kimewakamata watu 17 wakijaribu kuwafanyia mitihani wanafunzi wa chuo hicho. Waliokamatwa imeelezwa walikuwa na vitambulisho vya

Read More
Habari

Uvivu na kutofanya mazoezi ni chanzo cha maradhi – DW – 28.06.2024

June 28, 2024 Admin

Takriban watu bilioni 1.8 wamo katika hatari ya kukumbwa na magonjwa ya saratani, kiharusi, kisukari na kupoteza kumbukumbu kutokana nakutofanya mazoezi ya kutosha. Shirika la

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 19 20 21 … 263 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.