MAKALA: ALIYEKUWA MRAIBU KWA MIAKA 21, AANZISHA ASASI SEYOLBADA ILI KUIKOMBOA JAMII

Said ameeleza kwamba ,alikabiliwa na changamoto nyingi, kwani alikuwa akishikwa mara kwa mara na polisi , baadae familia iligundua kuwa kajiingiza kwenye matumizi hayo na kuanza kumkera aachane na vitendo hivyo. “Baadae nilikaa mwenyewe nikajifikiria mbona sijapata faida yeyote toka nianze kutumia dawa hizi baada ya kutumia kipindi kirefu ,sana sana niliathirika kiakili, kimwili na…

Read More

Simu ya Popat ilivyomrudisha Adam Adam Azam FC

STRAIKA Adam Adam tayari ametua Azam FC kwa ajili ya msimu ujao wa mashindano mbalimbali ya Ligi Kuu Bara, Ligi ya Mabingwa Afrika, Kombe la Shirikisho la FA na mengine itakayoshiriki klabu hiyo tajiri zaidi Tanzania. Kama kuna mambo ambayo alitamani yatokee na sasa anachekelea, ni kurudi Azam baada ya kuishia timu ya vijana ya…

Read More

Tisa wafikishwa mahakamani mauaji ya Asimwe

Bukoba. Watuhumiwa tisa mauaji ya mtoto mwenye ualbino Asimwe Novath (2) wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Bukoba leo Juni 28, 2024. Mei 30, 2024, mtoto Asimwe aliporwa kutoka kwa mama yake na watu wasiojulikana kisha wakatokomea naye. Juni 17, 2024, ikiwa ni siku 18 tangu alipochukuliwa, Asimwe alikutwa mabaki ya mwili huku baadhi ya…

Read More

SERIKALI YAKEMEA WAZEE KUNYIMWA DAWA HOSPITALINI

NA BALTAZAR MASHAKA,MWANZA SERIKALI imewaagiza waganga wakuu wa mikoa na wilaya kusimamia kwa karibu upatikanaji wa dawa kwa wananchi hasa wazee,wamekuwa wakisosa dawa muhimu wanapokwenda kutibiwa hospitalini. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda,ameagiza leo wakati akifunga mkutano wa mwaka wa MSD uliohusisha wateja na wadau,waganga wa mikoa na wilaya,wafamasia na waatalamu wa maabara kutoka…

Read More

Hali ya utulivu yarudi Nairobi baada ya maandamano – DW – 28.06.2024

28.06.202428 Juni 2024 Hali ya utulivu imeanza kurudi katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi na maeneo mengine ya nchi hiyo kufuatia maandamano ya jana Alhamisi. https://p.dw.com/p/4hd1X Askari jeshi ambae analinda doria katika viunga vya mji wa Nairobi kufuatia maandamano ya wananchi.Picha: Daniel Irungu/EPA Biashara na maduka yamefunguliwa huku wananchi wakiripotiwa kuendelea na shughuli zao za…

Read More

Biashara zarejea Kariakoo, Wafanyabiashara wataja mwarobaini

Dar es Salaam. Wafanyabiashara wa Kariakoo, jijini hapa wameendelea na shughuli zao baada ya kugoma kwa siku nne kuanzia Jumatatu Juni 24, 2024 huku wakidai mapendekezo ya kupunguzwa kwa faini ya Sh15 milioni hadi Sh4 milioni imebaki kwenye makaratasi. Mgomo huo ulioanzia Dar es Salaam, ulisambaa mikoa mingine ikiwamo Kigoma, Arusha, Dodoma, Mbeya, Mwanza, Mtwara,…

Read More

Wairan wapiga kura kumchagua rais mpya – DW – 28.06.2024

Wagombea wanne ambao wote ni watiifu kwa kiongozi wa juu zaidi nchini humo wanakabiliana vikali kwenye uchaguzi huu. Kituo cha televisheni ya umma kilionyesha msururu wa watu waliojipanga kwenye vituo vya kupiga kura kwenye miji kadhaa nchini Iran ambako raia milioni 61 wanastahili kupiga kura hadi majira ya saa 12.00 za jioni ambako vituo vitafungwa rasmi,…

Read More

MIGOGORO YA ARDHI ITATULIWE KABLA YA URASIMISHAJI KUANZA

Katibu Tawala wa Wilaya ya Shinyanga Bw. Said Kitinga akifungua kikao cha kujadili utekelezaji wa Mradi wa Uboreshaji Usalama wa Milki za Ardhi Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya hiyo tarehe 28 Juni 2024 Mkoani Shinyanga. Wadau wa Sekta ya Ardhi katika Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga waliohudhuria Mkutano wa Wadau kujadili utekelezaji wa Mradi wa Uboreshaji Usalama wa…

Read More

Wabuni mfumo wa kulipa ada kidjitali

Dar es Salaam. Kampuni ya mtandao wa simu ya Airtel imejitosa kuunga mkono juhudi za Serikali ya matumizi ya teknolojia katika shughuli za kielimu kwa kuwawezesha wazazi kulipa ada kwa mfumo wa kidigitali. Mfumo huo utawawezesha wazazi kulipa ada popote pale watakapokuwa kupitia simu ya kiganjani hatua inayotajwa kuwasaidia kuokoa muda, usumbufu pamoja na changamoto…

Read More