
SERIKALI, WADAU WAASWA KUENEZA ELIMU KATIKA JAMII KUHUSU HUDUMA ZA TIBA KWA WARAIBU WA DAWA ZA KULEVYA
Mmoja wa wanufaika wa huduma za Tiba kwa Waraibu wa Dawa za Kulevya kupitia kituo cha Huduma za Tiba kwa Waraibu wa Dawa za Kulevya (Medically Assisted Therapy – MAT) kilichopo katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tanga, bi. Mariam Michael Semwaza akiwa katika viwanja vya Nyamagana Jijini Mwanza wakati wa maadhimisho ya Kitaifa ya…