
Bolt yamteua Dimmy Kanyankole kuwa Meneja Mpya wa Tanzania
Kampuni inayoongoza kwa huduma za usafirishaji Tanzania na Barani Afrika, inafuraha kuwataarifu kuhusu uteuzi wa Bw.Dimmy Kanyankole kuwa Meneja mpya wa Bolt nchini Tanzania. Hatua hii ya kimkakati ni sehemu ya dhamira inayoendelea ya kampuni katika kuimarisha shughuli zake na uzoefu wa wateja katika kanda. Dimmy ni kiongozi atakayesimamia mapato yatokanayo na biashara na kufuatilia…