Dodoma. Spika wa Bunge Dk Tulia Ackson amempa siku 10 Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kuwasilisha uthibitisho kwamba Waziri wa Kilimo, Hussen Bashe amelidanganya Bunge.
Month: June 2024

Na Said Mwishehe MAKONDA, Najua kwa sasa wewe ndio bosi wa Mkoa wa Arusha,Mkoa wenye raha za Utalii,Mkoa wenye Madini na Mifugo. Najua Makonda ndio

Mkuu wa wilaya ya Tanganyika mkoani Katavi Bw. Onesmo Mpuya Buswelu tarehe 4 Juni, 2024 amefikishwa mbele ya Baraza la Maadili kwa tuhuma za ukiukwaji

Dodoma. Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika, Onesmo Buswelu amelia mbele ya Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma, akidai amebambikiwa tuhuma za uvunjifu wa maadili

Na; Mwandishi Wetu – DODOMA Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Deogratius Ndejembi amesema kuwa Serikali

Mwanza. Mhasibu wa Idara ya Mapato ya Halmashauri ya Jiji la Mwanza, Amon Joseph (41) amefariki dunia katika ajali ya gari akienda kwenye maziko ya

Hayo yanajiri wakati upinzani ndani ya serikali yake ya mseto ukimaanisha kuwa huenda nafasi yake kisiasa ipo mashakani.Washirika wa Netanyahu wanaofuata siasa kali za mrengo

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV Katika kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Chakula Salama Duniani, Shirika la Viwango Tanzania (TBS), limewataka wananchi kuhakikisha chakula kinakuwa salama

Qatar ambayo imekuwa msitari wa mbele katika juhudi za usuluhishi kati ya Hamas na Israel, imesema waraka wa mapendekezo iliyouwasilisha kwa Hamas unakaribiana zaidi na

Babati. Wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kanda ya Kaskazini waliochukua fomu za kugombea nafasi mbalimbali za uongozi wa majimbo, watafanyiwa usaili kabla