Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: June 2024

  • Home
  • 2024
  • June
  • Page 232
Habari

TANZANIA KINARA AFRIKA KWA USAMBAZAJI WA UMEME KWA WANANCHI

June 4, 2024 Admin

Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Tanzania imepongezwa na Benki ya Dunia kwa kuwa miongoni mwa nchi inayoongoza kusambaza Nishati ya

Read More
Habari

Ukraine yawahimiza washirika wake kupatiwa silaha zaidi – DW – 04.06.2024

June 4, 2024 Admin

  Serikali ya Ukraine imesema Italia itaipatia nchi hiyo mfumo mwingine wa ulinzi wa anga silaha ambazo maafisa wakuu wa Ukraine wamekuwa wakiwahimiza washirika wake kutuma

Read More
Habari

Wadau waitaka Serikali iwajibike kuwalinda wenye ualbino

June 4, 2024 Admin

Dar es Salaam. Zikiwa zimepita siku sita tangu kunyakuliwa kwa mtoto mwenye ualbino, Asimwe Novatus (2) na watu wasiojulikana kijijini kwao Bulamula mkoani Kagera, baadhi

Read More
Habari

BALOZI WA TANZANIA NCHINI KOREA AKANUSHA UPOTOSHAJI TANZANIA KUTOA SEHEMU YA BAHARI NA MADINI.

June 4, 2024 Admin

    Balozi wa Tanzania nchini Korea (Jamhuri ya Korea), Mhe Balozi Togolani Mavura amekanusha taarifa iliyosambazwa na chombo kimoja cha habari kuwa Tanzania imepokea

Read More
Michezo

Diarra ataja sababu ya kulia ushindi dhidi ya Azam

June 4, 2024 Admin

KIPA namba moja wa Yanga, Djgui Diarra ameitaja fainali ya Kombe la FA kuwa ni moja ya mchezo wake bora ndani ya misimu yake mitatu

Read More
Habari

Rais Samia asisitiza uwekezaji katika nishati safi ya kupikia

June 4, 2024 Admin

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameieleza dunia kuwa uwekezaji wa kweli katika nishati ni kuwekeza katika nishati safi ya kupikia

Read More
Habari

Kongo ilinde haki za wakaazi maeneo ya viwanda – DW – 04.06.2024

June 4, 2024 Admin

Amnesty International imetoa kauli hiyo baada ya kuangazia hali ya kuvuja kwa mafuta na moshi unaotokana na shughuli zinazofungamanishwa  na kampuni za mafuta za TotalEnergies

Read More
Habari

Mjengwa: Vyuo vya maendeleo ya wananchi suluhisho la ajira

June 4, 2024 Admin

Dar es Salaam. Mwaka 1969 Rais mstaafu wa awamu ya kwanza, Mwalimu Julius Nyerere alitembelea nchini Denmark,  na miongoni mwa mambo yaliyomvutia akiwa huko ni

Read More
Habari

DIT YAJIPANGA VYEMA UBORESHAJI WA MITAALA MIPYA

June 4, 2024 Admin

     Makamu Mkuu wa Taasisi ya Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) Taalamu, Utafiti na Ushauri wa Kitaalam Prof. Ezekiel Amri ameipongeza timu

Read More
Magazeti

Kigaila: Msigwa aje kulalamika vikaoni

June 4, 2024 Admin

Dar es Salaam. Siku moja baada ya aliyekuwa mgombea uenyekiti wa Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa kudai kuwa msimamizi wa uchaguzi huo, Benson Kigaila

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 231 232 233 … 263 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.