Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: June 2024

  • Home
  • 2024
  • June
  • Page 233
Habari

CHAMA CHA USHIRIKA RUNALI CHAJENGA VITUO VYA MALIPO KURAHISISHA FEDHA ZA MALIPO KWA WAKULIMA

June 4, 2024 Admin

  Elizaberth Msagula,Lindi   HATIMAYE,ucheleweshaji  wa Fedha za malipo ya wakulima wanaohudumiwa na chama kikuu cha Ushirika Runali kinachojumuisha wakulima wa Wilaya za Ruangwa, Liwale

Read More
Habari

NGO ya Kapuya yachunguzwa kwa ushoga

June 4, 2024 Admin

SERIKALI imeanza kuichunguza Taasisi ya Athuman Kapuya, dhidi ya tuhuma za usambazaji ushoga inazoikabili shirika hilo lisilo la kiserikali. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea).

Read More
Habari

VIDEO: Serikali yakana kuipa bahari, madini Korea Kusini

June 4, 2024 Admin

Dar es Salaam. Serikali imefafanua juu ya mkopo wa Sh6.7 trilioni uliosainiwa kati yake na Korea Kusini, ikieleza kuwa haijatoa sehemu ya bahari wala madini

Read More
Habari

UHAKIKI WA NHIF YABAINI WANACHAMA ZAIDI YA 13O SIO HALALI KWENYE VITUO VYA KUTOLEA HUDUMA TANGA

June 4, 2024 Admin

Na Oscar Assenga, TANGAMFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoa wa Tanga katika zoezi la uhakiki wa wanachama kwenye vituo vya kutolea huduma umebaini

Read More
Habari

Serikali yakana kuipa bahari, madini Korea Kusini

June 4, 2024 Admin

Dar es Salaam. Serikali imefafanua juu ya mkopo wa Sh6.7 trilioni uliosainiwa kati yake na Korea Kusini, ikieleza kuwa haijatoa sehemu ya bahari wala madini

Read More
Habari

KAMATI YA BUNGE YA NUU YASISITIZA UWAJIBIKAJI

June 4, 2024 Admin

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki na Mbunge wa Jimbo la Namtumbo, Mhe. Vita Kawawa (Mb.) akifungua

Read More
Habari

Spika Tulia aagiza kamati iwaite, kuwahoji wakurugenzi NSSF, PSSSF

June 4, 2024 Admin

Dodoma. Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson ameielekeza Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi wa Jamii kuwaita na kuwahoji wakurugenzi wa mifuko ya hifadhi

Read More
Habari

DC MOSHI ATANGAZA SIKU 21 ZA OPERESHENI TOKOMEZA GONGO..

June 4, 2024 Admin

  NA WILLIUM PAUL, MOSHI.  MKUU wa Wilaya ya Moshi Zephania  Sumaye ametangaza siku 21 za moto za Oparation ya kukamata mitambo yote inayotengenzea pombe

Read More
Magazeti Michezo

Ibra Class afungukia changamoto za ughaibuni hadi kuwa mfalme ulingoni

June 4, 2024 Admin

“MAISHA ya mwanadamu ni hadithi tu hapa duniani, basi ndugu yangu kuwa hadithi nzuri kwa hao watakaosimuliwa.” Hii ni moja ya nukuu zenye ujumbe mzito

Read More
Habari

MAADHIMISHO YA SIKU YA USHIRIKA DUNIANI 2024 KITAIFA KUFANYIKA TABORA KUANZIA JUNI 29.

June 4, 2024 Admin

MRAJIS  na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania, (TCDC) , Dkt. Benson Ndiege,akizungumza na waandishi wa habari leo Juni 4,2024 jijini Dodoma

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 232 233 234 … 263 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.