Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: June 2024

  • Home
  • 2024
  • June
  • Page 234
Habari

Dubai kujenga msikiti wa kwanza duniani unaoelea chini ya maji

June 4, 2024 Admin

Dubai imetangaza ujenzi wa msikiti wa kwanza duniani unaoelea chini ya maji wenye thamani ya dola milioni 14.9. Nusu moja ya muundo itakuwa juu ya

Read More
Habari

Sita mbaroni wakidaiwa kumuua mama yao mzazi

June 4, 2024 Admin

Mwanza. Watu sita wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza kwa tuhuma za mauaji ya mama yao mzazi, Shija Mageranya (77), mkazi wa Kijiji

Read More
Habari

TEKNOLOJIA YA KUDHIBITI WANYAMAPOLI WASITOKE HIFADHINI ITASAIDIA KUPUNGUZA CHANGAMOTO YA TEMBO KWA WANANCHI

June 4, 2024 Admin

  Shirika la Hifadhi ya Taifa TANAPA wameanza mpango wa kudhibiti wanyamapori, wakiwemo tembo wasivamie maeneo ambayo ni makazi ya watu kwa kwa kuwavalisha mikanda

Read More
Habari

WAJASIRIAMALI WADOGO WAPATA ELIMU YA FEDHA SUMBAWANGA

June 4, 2024 Admin

Afisa Mkuu Mwandamizi Idara ya Uendeshaji wa Sekta ya Fedha- Wizara ya Fedha, Bw. Salim Kimaro,akitoa elimu ya fedha kwa Wajasiriamali wadogo wadogo (hawamo pichani)

Read More
Habari

Tuzo ya KAZI IENDELEEE AWARDS yatolewa kuchochea hari ya wanawake katika kuziwahi fursa Pwani

June 4, 2024 Admin

Mwenyekiti wa kikundi cha wanawake cha Generation Queens mkoani Pwani, Betty Msimbe amewaasa wanawake kuendelea kujituma ili kujikomboa kimaisha na kuondokana na zama za utegemezi.

Read More
Habari

Selcom yainunua Access Benki Tanzania

June 4, 2024 Admin

Dar es Salaam. Kampuni ya Selcom imeinunua iliyokuwa benki ya Access Tanzania ikiwa ni moja ya hatua za kutanua shughuli zake za biashara katika huduma

Read More
Habari

WAZIRI WA FEDHA AKIWASILISHA MAKADIRIO NA MAPATO YA WIZARA YA FEDHA 2024/25

June 4, 2024 Admin

Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb), akiwasilisha bungeni makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Fedha, kiasi cha shilingi trilioni 44.19, kati

Read More
Habari

Watu laki 6 na kaya zaidi ya elfu 10 zimekwisha toa maoni ya muelekeo wa Dira ya maendeleo ya mwaka 2050

June 4, 2024 Admin

Tume ya Mipango nchini imesema hadi sasa zaidi ya wananchi laki sita na na kaya zaidi elfu kumi zimesha toa maoni ya muelekeo wa Dira

Read More
Habari

Mbaroni akidaiwa kumkata kichwa, viganja, nyeti mtoto wa kufikia

June 4, 2024 Admin

Morogoro. Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro linamshikilia, Erick Julias (39) mkazi wa Mlimba wilayani Kilombero kwa tuhuma za kumuua na kumtenganisha kichwa pamoja na

Read More
Habari

Sheria ya Bima, Katibu Mkuu Dr.Jingu akutana na wadau wa NGO’s

June 4, 2024 Admin

Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. John Jingu leo Juni 3, 2024 akiwa katika Ofisi ndogo za Wizara jijini Dar Es Salaam, amefanya kikao na

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 233 234 235 … 263 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.