Dubai imetangaza ujenzi wa msikiti wa kwanza duniani unaoelea chini ya maji wenye thamani ya dola milioni 14.9. Nusu moja ya muundo itakuwa juu ya
Month: June 2024

Mwanza. Watu sita wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza kwa tuhuma za mauaji ya mama yao mzazi, Shija Mageranya (77), mkazi wa Kijiji

Shirika la Hifadhi ya Taifa TANAPA wameanza mpango wa kudhibiti wanyamapori, wakiwemo tembo wasivamie maeneo ambayo ni makazi ya watu kwa kwa kuwavalisha mikanda

Afisa Mkuu Mwandamizi Idara ya Uendeshaji wa Sekta ya Fedha- Wizara ya Fedha, Bw. Salim Kimaro,akitoa elimu ya fedha kwa Wajasiriamali wadogo wadogo (hawamo pichani)

Mwenyekiti wa kikundi cha wanawake cha Generation Queens mkoani Pwani, Betty Msimbe amewaasa wanawake kuendelea kujituma ili kujikomboa kimaisha na kuondokana na zama za utegemezi.

Dar es Salaam. Kampuni ya Selcom imeinunua iliyokuwa benki ya Access Tanzania ikiwa ni moja ya hatua za kutanua shughuli zake za biashara katika huduma

Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb), akiwasilisha bungeni makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Fedha, kiasi cha shilingi trilioni 44.19, kati

Tume ya Mipango nchini imesema hadi sasa zaidi ya wananchi laki sita na na kaya zaidi elfu kumi zimesha toa maoni ya muelekeo wa Dira

Morogoro. Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro linamshikilia, Erick Julias (39) mkazi wa Mlimba wilayani Kilombero kwa tuhuma za kumuua na kumtenganisha kichwa pamoja na

Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. John Jingu leo Juni 3, 2024 akiwa katika Ofisi ndogo za Wizara jijini Dar Es Salaam, amefanya kikao na