Mkuu huyo wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa ametaka kukomeshwa kwa ghasia zinazoendelea katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu, akisema ni jambo
Month: June 2024

Dar es Salaam.Ni ukweli usiopingika kwamba takribani kila kaya nchini Tanzania ina kijana aliyehitimu shahada ama stashahada, lakini hana ajira wala shughuli ya kumuingizia kipato.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Rais wa Shirika la Ushirikiano wa Kimataifa la Korea (KOICA) Bw. Chang

Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Nchini (CGF) John William Masunga amewatunuku Maafisa na Askari wa Jeshi hilo Nishani 142 kutoka Mikoa ya

Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Makamu wa Rais Dk. Philip Mpango anatarajiwa kuwa mgeni rasmi wa kongamano la Dira ya Maendeleo ya Taifa 2050 litakalofanyika

Katika hotuba yake kwenye Mkutano wa Korea Kusini na Afrika, Yoon amesema nchi yake itazidisha misaada ya maendeleo barani Afrika ifikapo mwaka 2030 na kuongeza

Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametoa pongezi kwa Rais mteule wa Mexico Claudia Sheinbaum baada ya kuibuka kidedea katika uchaguzi mkuu

Dodoma. Wakati Serikali ikiwataka wananchi kuwasilisha malalamiko ya kodi kupitia namba ya bure, imeeleza changamoto inazopitia katika ukusanyaji kodi kwa kutumia mashine za kielektroniki za

Lucas Paqueta anaweza kuripotiwa ‘kufungiwa kutojihusisha na soka maishani’ na Chama cha Soka (FA) iwapo atapatikana na hatia ya kukiuka sheria za shirika hilo kuhusu

-Takriban Wanawake 300 walioahidiwa na Rais Samia kunufaika -Serikali kulipia Leseni hizo ada zote kwa kipindi cha awali Naibu Waziri wa Madini Dkt. Steven Kiruswa