Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: June 2024

  • Home
  • 2024
  • June
  • Page 235
Habari

Vifo Gaza vafikia 36,555, Ukingo wa Magharibi kwafukuta – DW – 04.06.2024

June 4, 2024 Admin

Mkuu huyo wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa ametaka kukomeshwa kwa ghasia zinazoendelea katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu, akisema ni jambo

Read More
Habari

Somo la Profesa Muhongo kukabiliana na tatizo la ajira

June 4, 2024 Admin

Dar es Salaam.Ni ukweli usiopingika kwamba takribani kila kaya nchini Tanzania ina kijana aliyehitimu shahada ama stashahada, lakini  hana ajira wala shughuli ya kumuingizia kipato.

Read More
Habari

RAIS SAMIA ATETA NA RAIS WA SHIRIKA LA KIMATAIFA (KOICA) LA KOREA

June 4, 2024 Admin

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Rais wa Shirika la Ushirikiano wa Kimataifa la Korea (KOICA) Bw. Chang

Read More
Habari

Maafisa na Askari 142 wa Jeshi la zimamoto na ukoaji wavishwa nishani Tanga

June 4, 2024 Admin

Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Nchini (CGF) John William Masunga amewatunuku Maafisa na Askari wa Jeshi hilo Nishani 142 kutoka Mikoa ya

Read More
Habari

Makamu wa Rais mgeni rasmi kongamano Dira ya Maendeleo

June 4, 2024 Admin

Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Makamu wa Rais Dk. Philip Mpango anatarajiwa kuwa mgeni rasmi wa kongamano la Dira ya Maendeleo ya Taifa 2050 litakalofanyika

Read More
Habari

Korea Kusini kuongeza ushirikiano wake na Afrika – DW – 04.06.2024

June 4, 2024 Admin

Katika hotuba yake kwenye Mkutano wa Korea Kusini na Afrika, Yoon  amesema nchi yake itazidisha misaada ya maendeleo barani Afrika ifikapo mwaka 2030 na kuongeza

Read More
Habari

Samia ampongeza Rais mteule Mexico

June 4, 2024 Admin

Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametoa pongezi kwa Rais mteule wa Mexico Claudia Sheinbaum baada ya kuibuka kidedea katika uchaguzi mkuu

Read More
Habari

Serikali yatoa kauli malalamiko ya kodi, matumizi ya EFD

June 4, 2024 Admin

Dodoma. Wakati Serikali ikiwataka wananchi kuwasilisha malalamiko ya kodi kupitia namba ya bure, imeeleza changamoto inazopitia katika ukusanyaji kodi kwa kutumia mashine za kielektroniki za

Read More
Habari

FA wanataka kumfungia maisha Lucas Pacqueta iwapo atapatikana na hatia.

June 4, 2024 Admin

Lucas Paqueta anaweza kuripotiwa ‘kufungiwa kutojihusisha na soka maishani’ na Chama cha Soka (FA) iwapo atapatikana na hatia ya kukiuka sheria za shirika hilo kuhusu

Read More
Habari

SERIKALI YAFANIKISHA KUPATIKANA MAENEO 15 YA UCHIMBAJI KWA WANAWAKE GEITA

June 4, 2024 Admin

-Takriban Wanawake 300 walioahidiwa na Rais Samia kunufaika -Serikali kulipia Leseni hizo ada zote kwa kipindi cha awali Naibu Waziri wa Madini Dkt. Steven Kiruswa

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 234 235 236 … 263 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.