Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: June 2024

  • Home
  • 2024
  • June
  • Page 237
Habari

MWALIMU AJIBIWE MAJIBU YA STAHA-DKT. MSONDE 

June 4, 2024 Admin

Na. James Mwanamyoto, OR-TAMISEMI Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-TAMISEMI (Elimu) Dkt. Charles Msonde amesema, mwalimu ni mtumishi mwenye hadhi kama walivyo watumishi wenginge hivyo

Read More
Habari

Balozi wa Tanzania nchini Korea akanusha upotoshaji Tanzania kutoa sehemu ya bahari na madini

June 4, 2024 Admin

Balozi wa Tanzania nchini Korea, Togolani Mavura amekanusha taarifa iliyosambazwa na chombo kimoja cha habari kuwa Tanzania imepokea mkopo kutoka Jamhuri ya Korea na kutoa

Read More
Habari

Chongolo aagiza mzee aliyeporwa ardhi arejeshewe

June 4, 2024 Admin

Songwe. Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Daniel Chongolo ameuaguza uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Songwe kumrejeshea ekari 18 Wendisoni Sasala ambazo ziliongezwa kutoka ekari

Read More
Habari

DKT BITEKO AIPONGEZA TMA KWA KUTOA HUDUMA BORA ZA UTABIRI WA HALI YA HEWA

June 4, 2024 Admin

  Na mwandishi wetu, Dodoma Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati  Dkt. Doto Biteko ameipongeza Mamalaka ya Hali ya Hewa Tanzania kwa kuendelea kutoa

Read More
Michezo

Tabora United, JKT Tanzania mzigoni leo ‘play off’

June 4, 2024 Admin

Wakati mchezo wa play off hatua ya kwanza kwa timu za Tabora United na JKT Tanzania ukipigwa leo Jumanne, presha imeonekana kutawala ndani na nje

Read More
Habari

Wajerumani kuiadhibu serikali yao kupitia uchaguzi wa Ulaya – DW – 04.06.2024

June 4, 2024 Admin

Uchaguzi wa Bunge la Ulaya ni wa pili kwa ukubwa baada ya ule wa India. Raia wapatao milioni 450 wa Umoja wa Ulaya wanapiga kura

Read More
Habari

ICC na wafanyakazi wake walengwa na visa vya ujasusi – DW – 04.06.2024

June 4, 2024 Admin

Ripoti ya gazeti la The Guardian nchini Uingereza imefichua madai kwamba mkuu wa zamani wa ujasusi nchini Israel Yossi Cohen, alimuwekea shinikizo mwendesha mashtaka mkuu

Read More
Habari

WAAMBIENI WANANCHI MADHARA YA KUCHAGUA VIONGOZI WANAOTOA RUSHWA -MHE.SIMBACHAWENE 

June 4, 2024 Admin

  Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene akizungumza na Viongozi wa TAKUKURU (hawapo pichani)

Read More
Habari

Sasa wanaume kuwasindikiza wanawake leba Tanzania – DW – 04.06.2024

June 4, 2024 Admin

Mwenza huwa na sehemu maalumu ya kukaa huku amevaa vifaa maalumu vya kufatilia mapigo ya moyo ya mama na kushuhudia  mchakato mzima wa kujifungua. Hospitali

Read More
Habari

Rais Samia Suluhu Hassan ashiriki Mkutano wa Korea na Afrika, Kintex nje kidogo ya Jiji la Seoul, Jamhuri ya Korea

June 4, 2024 Admin

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na baadhi ya Viongozi mara baada ya ufunguzi wa mkutano wa Korea na

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 236 237 238 … 263 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.