Na. James Mwanamyoto, OR-TAMISEMI Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-TAMISEMI (Elimu) Dkt. Charles Msonde amesema, mwalimu ni mtumishi mwenye hadhi kama walivyo watumishi wenginge hivyo
Month: June 2024

Balozi wa Tanzania nchini Korea, Togolani Mavura amekanusha taarifa iliyosambazwa na chombo kimoja cha habari kuwa Tanzania imepokea mkopo kutoka Jamhuri ya Korea na kutoa

Songwe. Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Daniel Chongolo ameuaguza uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Songwe kumrejeshea ekari 18 Wendisoni Sasala ambazo ziliongezwa kutoka ekari

Na mwandishi wetu, Dodoma Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko ameipongeza Mamalaka ya Hali ya Hewa Tanzania kwa kuendelea kutoa

Wakati mchezo wa play off hatua ya kwanza kwa timu za Tabora United na JKT Tanzania ukipigwa leo Jumanne, presha imeonekana kutawala ndani na nje

Uchaguzi wa Bunge la Ulaya ni wa pili kwa ukubwa baada ya ule wa India. Raia wapatao milioni 450 wa Umoja wa Ulaya wanapiga kura

Ripoti ya gazeti la The Guardian nchini Uingereza imefichua madai kwamba mkuu wa zamani wa ujasusi nchini Israel Yossi Cohen, alimuwekea shinikizo mwendesha mashtaka mkuu

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene akizungumza na Viongozi wa TAKUKURU (hawapo pichani)

Mwenza huwa na sehemu maalumu ya kukaa huku amevaa vifaa maalumu vya kufatilia mapigo ya moyo ya mama na kushuhudia mchakato mzima wa kujifungua. Hospitali

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na baadhi ya Viongozi mara baada ya ufunguzi wa mkutano wa Korea na