Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: June 2024

  • Home
  • 2024
  • June
  • Page 239
Habari

Taa 600 za barabarani Tanga hazifanyi kazi, wafanyabiashara walia

June 4, 2024 Admin

Tanga. Zaidi ya taa 600 za barabarani katika Jiji la Tanga zimebainika kuwa hazifanyi kazi kwa muda mrefu. Wafanyabiashara na watumiaji wa maeneo hayo wamelalamika

Read More
Habari

Mabishano fedha za Maliasili na Utalii kumalizwa na Kamati ya Bajeti

June 4, 2024 Admin

Dodoma. Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson amesema suala la mgawanyo wa fedha za nyongeza ya Sh19 bilioni, wizara imepanga Sh14 bilioni ziwe za matumizi

Read More
Habari

PROMOSHENI YA EXPANSE TOURNAMENT! MAMILIONI YA KASINO YANAKUSUBIRI

June 4, 2024 Admin

BADO una nafasi ya kuendelea kuwa mshindi na kupiga mtonyo mrefu, kwa kushiriki promosheni ya Expanse ndani ya Meridianbet Kasino ya Mtandaoni. Ili upate mgao

Read More
Habari

Washtakiwa waomba kubadilishiwa shtaka la mauaji

June 3, 2024 Admin

Dar es Salaam. Mshtakiwa Fadhil Athuman na wenzake wawili, wameiomba Serikali iangalie uwezekano wa kuwabadilishia shtaka la mauaji linalowakabili liwe shtaka la mauaji bila kukusudia.

Read More
Habari

WAKILI WA UTETEZI AKWAMISHA KUENDELEA KUSIKILIZWA KESI DHIDI YA WANANDOA

June 3, 2024 Admin

SHAHIDI wa tatu wa upande wa mashtaka, Kiran Lalit Ratilal katika kesi ya kujeruhi na kutoa lugha ya matusi inayowakabili wanandoa Bharat Nathwan (57) na

Read More
Habari

Wataalamu elimu kujifunza teknolojia mpya

June 3, 2024 Admin

Dar es Salaam. Katika kuhakikisha mpango wa kuwa na mkondo wa elimu ya amali kwa shule za sekondari na vyuo vya elimu ya ufundi na

Read More
Habari

RAIS SAMIA ATANGAZA NIA YA KUJENGA CHUO CHA MASUALA YA ANGA

June 3, 2024 Admin

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amesema ana nia ya kujenga chuo cha masuala ya anga nchini Tanzania kwa kushirikiana

Read More
Habari

Hivi ndio vipaumbele Wizara ya Afya Zanzibar

June 3, 2024 Admin

Unguja. Wizara ya Afya imeainisha vipaumbele 10 itakavyotekeleza katika bajeti ya mwaka 2024/25 ikiwamo kupunguza vifo vya mama wajawazito kutoka vifo 145 kwa kila vizazi hai 100,000 kwa

Read More
Habari

WAZIRI MKUU: TUTAENDELEA KUWASHIRIKISHA WAVUVI NA WAFUGAJI KWENYE MIPANGO YA MAENDELEO

June 3, 2024 Admin

Waziri Mkuu Kassim Majakiwa amesema Serikali inaendelea kujikita katika kuhakikisha inaimarisha na kuwashirikisha wavuvi na wafugaji katika mipango ya maendeleo. Amesema hayo leo Juni 03,

Read More
Habari

Tanroads yawashusha pumzi wakazi Kimara- Ubungo

June 3, 2024 Admin

Dar es Salaam. Wakala wa Taifa wa Barabara Tanzania (Tanroads) imesema upanuzi unaoendelea wa sehemu ya barabara ya Morogoro kutoka Ubungo hadi Kimara-Mwisho jijini Dar

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 238 239 240 … 263 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.