Kutochangamkia fursa kunavyochangia umasikini kwa Watanzania

Dar es Salaam. Imeelezwa kutokana na baadhi ya watu kukosa ujasiri wa kufanya uamuzi binafsi katika kuzichangamkia fursa, hali hiyo imesababisha walio wengi kuwa masikini. Hayo yamebainishwa leo Alhamisi, Juni 27, 2024 na wadau mbalimbali katika mdahalo ulioandaliwa na Benki ya CRDB, ilipoungana na wadau wengine kuadhimisha Siku ya Wajasiriamali Duniani (International MSME Day) kwa…

Read More

Serikali yakitaka chuo cha muhas kutoa mapendekezo namna ya kushughulikia magonjwa yasiyoambukiza

Dkt. Harrison Mwakyembe, Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili akizungumza katika kongamano hilo Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili ( Muhas) Profesa Appolinary Kamuhabwa kizungumza mara baada kufunguliwa kwa kongamano la 12 la Kisayansi la Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS)…

Read More

WAZIRI MKUU ATAKA MIPANGO ENDELEVU YA UTAFUTAJI TEKNOLOJIA SEKTA YA MADINI.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Madini iendelee kushirikiana na wadau mbalimbali ndani na nje ya nchi katika kutafuta teknolojia mbalimbali za uongezaji thamani madini. Amesema kuwa kufanya hivyo kutawezesha madini yanayopatikana nchini kutumika katika kuzalisha bidhaa ambazo zinahitajika duniani kote kutokana na kuongezeka kwa mahitaji na kuendelea kuongezeka kwa idadi ya watu duniani….

Read More

Okwi achagiza mpango wa straika mpya Simba

STAA wa zamani wa Simba na Yanga, Emmanuel Okwi amehusika kwa kiasi kikubwa kumshawishi, Straika Mganda Steven Dese Mukwala (24) asaini Msimbazi, Mwanaspoti linajua. Mukwala huenda akatambulishwa muda wowote kuanzia sasa kwani tayari yupo Jijini ametulia kwenye hoteli moja iliyoko kwenye ufukwe wa Bahari ya Hindi. Okwi ambaye kwa sasa anaichezea Erbil SC ya Ligi…

Read More