Mkuu wa wilaya ya Mafia, mkoani Pwani, Aziza Mangosongo , amethibitisha kukamatwa kwa Ostadh wa Madrasa anaedaiwa kulawiti watoto zaidi ya Kumi ambapo pia
Month: June 2024

MSIMU wa 69 wa soka la Tanzania umekamilika kwa fainali ya Kombe la Shirikisho kufanyika visiwani Zanzibar na Yanga SC kushinda kwa changamoto ya mikwaju

Wakala wa Nishati Vijijini ( REA), umetoa elimu kwa Wajumbe wa Kamati mbalimbali za Bunge kuhusu mikopo ya Ujenzi wa Vituo vidogo vya mafuta vijijini

Kylian Mbappe amejiunga rasmi na Real Madrid baada ya sakata la muda mrefu la uhamisho. Fowadi huyo wa Ufaransa atakuwa akiichezea miamba hiyo ya Uhispania

Watu sita wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoa wa Kilimanjaro kwa tuhuma za kukutwa na nyara za serikali aina ya meno ya Tembo vipande 12.

Tathmini ya shirika hilo la Umoja wa Mataifa linalofanya uchunguzi kwa kutumia Satelati (UNOSAT) imeonyesha zaidi ya majengo 137,000 yameathirika huko Gaza. Makadirio hayo yanatokana na

Dar es Salaam. Katika kuongeza ushiriki wa wanawake katika matumizi ya teknolojia, Serikali imeweka mkakati wa kushirikiana na wadau kutoa elimu ili kufikia usawa wa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Korea Mhe.

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema ana nia ya kujenga chuo cha masuala ya anga nchini kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Sayansi ya

Arusha. Mahakama Kuu ya Tanzania, Masijala ndogo ya Bukoba iliyoketi Karagwe, imemhukumu kifungo cha miaka 10 jela, Edson Aron baada ya kumkuta na hatia ya