OSTADH ADAIWA KULAWITI WATOTO 15 ,HUKO MAFIA , MKOANI PWANI

  Mkuu wa wilaya ya Mafia, mkoani Pwani, Aziza Mangosongo , amethibitisha kukamatwa kwa Ostadh wa Madrasa anaedaiwa kulawiti watoto zaidi ya Kumi ambapo pia zipo kesi nyingine zinaendelea kuchunguzwa. Aidha amesema, licha ya serikali kupambana kupiga vita vitendo vya ukatili dhidi ya watoto lakini bado baadhi ya wakazi wa kisiwa hicho, wameonekana kutia pamba…

Read More

Utamu, utata Ligi Kuu Bara msimu wa 2023/24

MSIMU wa 69 wa soka la Tanzania umekamilika kwa fainali ya Kombe la Shirikisho kufanyika visiwani Zanzibar na Yanga SC kushinda kwa changamoto ya mikwaju ya penalti 6-5 baada ya dakika 120 kumalizika kwa sare ya 0-0. Yanga ambao pia ni mabingwa wa Ligi Kuu, wamefanikiwa kutetea mataji haya kwa msimu wa tatu mfululizo. Walishinda…

Read More

Watu 6 mbaroni kwa kudakwa na meno ya tembo

Watu sita wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoa wa Kilimanjaro kwa tuhuma za  kukutwa na nyara za serikali aina ya meno ya Tembo vipande 12. Anaripoti Safina Sarwatt, Kilimanjaro…(endelea). Katika taarifa yake kwa wandishi wa habari Kamanda wa polisi mkoa wa Kilimanjaro, SACP Simon Maigwa amesema watuhumiwa hao wamekamatwa kufuatia operesheni ya ukamataji wa makosa…

Read More

Zaidi ya nusu ya miundombinu yote Ukanda wa Gaza imeharibiwa – DW – 03.06.2024

Tathmini ya shirika hilo la Umoja wa Mataifa linalofanya uchunguzi kwa kutumia Satelati (UNOSAT) imeonyesha zaidi ya majengo 137,000 yameathirika huko Gaza. Makadirio hayo yanatokana na picha za satelaiti zilizopigwa Mei 3.  Na ilikingalinishwa na picha zilizopigwa mwaka mmoja kabla ya shambulizi la Hamas la Oktoba 7 nchini Israel. Takwimu hizo zinalingana na karibu asilimia 55…

Read More

Serikali, wadau kuwapa wanawake ujuzi wa teknolojia

Dar es Salaam. Katika kuongeza ushiriki wa wanawake katika matumizi ya teknolojia, Serikali imeweka mkakati wa kushirikiana na wadau kutoa elimu ili kufikia usawa wa kijinsia katika uga huo. Hayo yamesemwa leo Juni 3 jijini Dar es Salaam  na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na wenye Mahitaji Maalumu, Dk Dorothy Gwajima katika hafla…

Read More

Rais Samia kujenga chuo cha masuala ya anga

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema ana nia ya kujenga chuo cha masuala ya anga nchini kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Sayansi ya Anga cha Korea. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Rais Samia ameyasema hayo leo Jumatatu wakati wa shughuli ya Kutunukiwa Udaktari wa Falsafa wa Heshima (Honoris Causa) katika sekta ya anga na…

Read More

Ahukumiwa miaka 10 jela kwa kuua bila kukusudia

Arusha. Mahakama Kuu ya Tanzania, Masijala ndogo ya Bukoba iliyoketi Karagwe, imemhukumu kifungo cha miaka 10 jela, Edson Aron baada ya kumkuta na hatia ya kumuua bila kukusudia Philemon Thadeo, kwa kumkata na panga kichwani na mkononi.  Edson alimuua Thadeo baada ya kutokea  kutokuelewana katika mazungumzo yao na kusababisha mapigano kati yao. Imeelezwa kuwa, Thadeo…

Read More