AGIZO LA WAZIRI SILAA LA KUHAMISHIA HUDUMA ZA ARDHI OFISINI KWAKE LAANZA KUTEKELEZWA DODOMA
Wananchi wakisubiri kupata huduma kwenye Kliniki ya Ardhi inayoendelea jijini Dodoma leo (jana).Viongozi wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi wakiongozwa na Katibu Mkuu Mhandisi Anthony Sanga wakiwahudumia wananchi wakati wa zoezi la Kliniki ya Ardhi inayoendelea jijini Dodoma.Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhandisi Anthony Sanga akiongea na…