Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: June 2024

  • Home
  • 2024
  • June
  • Page 242
Habari

AGIZO LA WAZIRI SILAA LA KUHAMISHIA HUDUMA ZA ARDHI OFISINI KWAKE LAANZA KUTEKELEZWA DODOMA

June 3, 2024 Admin

Wananchi wakisubiri kupata huduma kwenye Kliniki ya Ardhi inayoendelea jijini Dodoma leo (jana).Viongozi wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi wakiongozwa na Katibu

Read More
Habari

PIA yaipa mamilioni THRDC uimarishaji haki za kiraia

June 3, 2024 Admin

SHIRIKA la Protection International Africa (PIA), limeiongezea  mkataba wa mwaka mmoja wenye thamani ya Euro 122,440 (Sh. 34.5 milioni), Mtandao wa Watetezi wa Haki za

Read More
Habari

Zelensky afanya ziara Ufilipino kusaka uungwaji mkono – DW – 03.06.2024

June 3, 2024 Admin

Ameitumia ziara hiyo kuwaomba viongozi wa bara hilo kuhudhuria mkutano wa kilele wa amani ulioandaliwa na Uswisi kujadili vita vya Ukraine na Urusi. Zelensky amedai Urusi

Read More
Habari

Uchaguzi Afrika Kusini waiweka ANC njiapanda

June 3, 2024 Admin

Johannesburg. Uchaguzi wa Afrika Kusini ukiwa umekamilika baada ya kuchagua wabunge 400, kwa mara ya kwanza katika miaka 30 ya utawala wa kidemokrasia, hakijapatikana chama

Read More
Habari

BRELA YAWATAKA WAFANYABIASHARA KUJISAJILI ILI KUCHANGAMKIA FURSA KIBIASHARA

June 3, 2024 Admin

Afisa Sheria za Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni nchini (Brela) Lupakisyo Mwambiga wakati akizungumza na waandishi wa habari kwenye maonyesho ya 11 ya

Read More
Habari

IDARA/VITENGO VYA MAZINGIRA VYASISITIZWA KUTEKELEZA MAJUKUMU YAO

June 3, 2024 Admin

Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ametoa wito kwa Idara

Read More
Habari

Maelfu wahamishwa kusini mwa Ujerumani kufuatia mafuriko – DW – 03.06.2024

June 3, 2024 Admin

Tahadhari hiyo imetolewa wakati maelfu ya watu wakihamishwa na wengine wakilazimika kuyaacha makaazi yao baada ya kutokea mafuriko makubwa mwishoni mwa juma.  Maafisa wa uokoaji

Read More
Habari

Msako waliotoweka na mtoto mwenye ualbino washika kasi, DC Muleba atoa maagizo

June 3, 2024 Admin

Mwanza. Siku tano tangu watu wasiyojulikana kudaiwa kumkwapua mtoto mwenye ualbino, Asimwe Novath (2) na kutoweka naye kusikojulikana, Mkuu wa Wilaya ya Muleba mkoani Kagera,

Read More
Habari

Saa ya nyota wa Tottenham ya £260K (Yves Bissouma) imeibiwa na wanyang’anyi.

June 3, 2024 Admin

Yves Bissouma aliripotiwa kutekwa nyara nje ya hoteli ya nyota tano huko Cannes wikendi hii, huku majambazi wawili ‘wakimnyunyiza usoni na mabomu ya machozi’ kabla

Read More
Habari

Kesi ya wanandoa kujeruhi jirani yapigwa kalenda tena

June 3, 2024 Admin

SHAHIDI wa upande wa mashitaka Kiran Lalit Ratilal, ameshindwa kutoa ushahidi katika kesi  ya kujeruhi inayowaabili wanandoa Bharat Nathwan (57) na Sangita Bharat (54), kwa

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 241 242 243 … 263 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.