Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: June 2024

  • Home
  • 2024
  • June
  • Page 243
Habari

Wagonjwa 36,404 wafikiwa na kambi ya madaktari bobezi

June 3, 2024 Admin

Dar es Salaam. Wizara ya Afya imesema wagonjwa 36,404 kutoka mikoa 14 wamefikiwa katika huduma za matibabu kutoka kwa madaktari bingwa na bobezi, wanaozunguka wilaya

Read More
Habari

BODA BODA WANUFAIKA NA MIKOPO YA ASILIMIA 10 YA MAPATO YA HALMASHAURI

June 3, 2024 Admin

Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa – TAMISEMI anayeshughulikia Afya Mhe. Dkt. Festo Dugange (Mb) amesema kundi kubwa la

Read More
Habari

Halmashauri yatambua shule bora Babati

June 3, 2024 Admin

Katika kuendeleza Kukuza kiwango cha elimu nchi Halmashauri ya Mji wa Babati Mkoani Manyara imetoa Pongezi na vikombe vya heshima kwa shule zilizofanya vizuri katika

Read More
Habari

Mahujaji 3,300 wanaoenda kuhiji wapewa somo

June 3, 2024 Admin

Dar es Salaam. Mahujaji wanaokwenda kuhiji Makka  wametakiwa kuwa makini na kufuata maelekezo ya viongozi ili kunufaika na nguzo hiyo muhimu kati ya tano za

Read More
Michezo

Utamu, utata msimu wa 2023/24

June 3, 2024 Admin

MSIMU wa 69 wa soka la Tanzania umekamilika kwa fainali ya Kombe la Shirikisho kufanyika visiwani Zanzibar na Yanga SC kushinda kwa changamoto ya mikwaju

Read More
Habari

Visiwa vidogo 17 ZNZ,thamani ya mitaji ni dola Million 384

June 3, 2024 Admin

Mara baada ya serikali ya mapinduzi ya Zanzibar kuruhusu visiwa vidogo vidogo kukodishwa mwaka 2021 ambapo kati ya visiwa vidogo17 kwenye 20 vilitangzwa na kupewa

Read More
Habari

Serikali kutunga sera kuzilea kampuni changa

June 3, 2024 Admin

Seoul. Serikali imeanza mchakato wa kutunga sera kwa ajili ya kampuni changa (startups), ili kujenga mazingira mazuri ya ukuaji wa bunifu za watu na kuzilea

Read More
Michezo

Ngawina anogewa Singida FG akiwatega mabosi

June 3, 2024 Admin

BAADA ya kuiokoa Singida Fountain Gate isishuke daraja, Kocha Mkuu wa muda wa timu hiyo, Ngawina Ngawina amenogewa akisema msimu wa kwanza akifundisha timu ya

Read More
Habari

Polisi wanamsaka anayedaiwa kuwabaka watoto watano Arumeru

June 3, 2024 Admin

Arusha.  Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limeanza msako wa kumkamata mzee wa miaka 55 (jina linahifadhiwa) mkazi wa Kijiji cha Shangarai, Kata ya Ambureni

Read More
Michezo

JICHO LA MWEWE: Taifa Stars ya Lunyamila na nidhamu ya Tshabalala

June 3, 2024 Admin

WIKI moja tu iliyopita chupa zilikuwa mezani stori zikiwa mdomoni. Nilikuwa na Edibily Jonas Lunyamila baa fulani Mbezi Beach tukipiga stori za zamani. Bahati iliyoje.

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 242 243 244 … 263 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.