Mchungaji Msigwa kupinga ushindi wa Sugu Kanda ya Nyasa

ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa, amekata rufaa kupinga matokeo ya uchaguzi yaliyomng’oa madarakani na kumpa ushindi Joseph Mbilinyi (Sugu). Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea). Mchungaji Msigwa ametangaza kusudio hilo wakati akizungumza na waandishi wa habari, ikiwa ni siku chache tangu uchaguzi huo wa kusaka…

Read More

Msigwa akata  rufaa kupinga matokeo ya uchaguzi Nyasa, Chadema wamjibu

Iringa/Dar. Aliyekuwa mgombea uenyekiti wa Kanda ya Nyasa ya Chadema, Mchungaji Peter Msigwa amekata rufaa katika chama hicho, akidai ushindi alioupata Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ haukuwa halali. Hata hivyo, wakati Msigwa akisema hayo, Mkurugenzi wa Mawasiliano, Itifaki, Uenezi na Mambo ya Nje wa Chadema, John Mrema amesema kama kweli Msigwa amekata rufaa na kufuata mfumo unaotakiwa,…

Read More

Bacca anavyoipiga tafu KMKM | Mwanaspoti

BEKI wa Yanga SC, Ibrahim Hamad ‘Bacca’ anatajwa kuwa mmoja wa wachezaji wanaokumbukwa zaidi na KMKM ya Zanzibar kutokana na aliyowahi kuyafanya ndani ya timu hiyo sambamba na yale anayoendelea kuyafanya. Bacca ambaye alijiunga na Yanga Januari 2022 akitokea KMKM, bado moyo wake upo klabuni hapo kwani ndiyo sehemu ambayo ilikuwa kama daraja kwake la…

Read More

Msigwa akataa  rufaa kupinga matokeo ya uchaguzi Nyasa

Iringa/Dar. Aliyekuwa mgombea uenyekiti wa Kanda ya Nyasa ya Chadema, Mchungaji Peter Msigwa amekata rufaa katika chama hicho, akidai ushindi alioupata Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ haukuwa halali. Hata hivyo, wakati Msigwa akisema hayo, Mkurugenzi wa Mawasiliano, Itifaki, Uenezi na Mambo ya Nje wa Chadema, John Mrema amesema kama kweli Msigwa amekata rufaa na kufuata mfumo unaotakiwa,…

Read More

Serikali yaipongeza CRDB Bank Foundation kuwawezesha kiuchumi vijana na wanawake wajasiriamali nchini

Mkurugenzi wa Jinsia wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, Badru Abdunuru aliyekuwa mgeni rasmi katika hafla ya mafunzo ya ujasiriamali na elimu ya fedha akimkabidhi mfano wa hundi ya shilingi milioni 150 Mkurugenzi Mtendaji wa Asasi ya Data Sustainable Development Organization, Sihaba Madenge ambazo ni mtaji wezeshi kwa baadhi ya…

Read More

HISIA ZANGU: Kama Kelvin John angecheza soka kwa ajili yetu…

BAADA dakika chache kutangaza kwamba ameachana na klabu ya Genk ya Ubelgiji, Kevin John, mchezaji aliyewahi kupachikwa jina la ‘Mbappe wa Tanzania’ alijitangaza kuwa mchezaji mpya wa klabu ya Aalborg ya Denmark. Jezi yao inavutia na Kelvin ni mchezaji wao mpya kuanzia sasa. Kelvin amesogea au amerudi nyuma? Tusidanganyane. Amerudi nyuma. Nadhani hata yeye mwenyewe…

Read More

Ronaldo kuwasiliana na wachezaji wenzake wa zamani wa Madrid ili kuwashawishi wajiunge na Al-Nassr .

Ronaldo amewasiliana na wachezaji wenzake wawili wa zamani katika nia ya kuwashawishi wajiunge naye Al-Nassr, kulingana na ripoti. Fowadi huyo ametatizika kupata mafanikio ya uwanjani tangu alipohamia Saudi Pro League miezi 18 iliyopita, na kushindwa kushinda taji kubwa licha ya kufurahia maisha ya nje ya uwanja katika Mashariki ya Kati. Kikosi chake kimeshika nafasi ya…

Read More

Mambo matano ya Amaan Complex

UWANJA wa New Amaan Complex uliopo Unguja, Zanzibar, wenye uwezo wa kuingiza watazamaji zaidi ya 15,000, bado upo kwenye maboresho. Uwanja huo ambao umeipa heshima Yanga kwa kutetea ubingwa wao wa Kombe la Shirikisho (FA) kwa kuifunga Azam penalti 6-5, umekuwa wa kisasa zaidi tofauti na hapo awali. Mwaka 1970 uwanja huu ndiyo ulijengwa na…

Read More