Zaidi ya Milioni 1 wamelazimika kuhama Rafah – UNRWA

Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) limesema kuwa wakimbizi wa kulazimishwa kuhama makazi yao wamefikia zaidi ya watu milioni moja kutoka mji wa Rafah kusini mwa Gaza. Jeshi la Israel limewaambia raia kwenda kwenye “eneo lililopanuliwa la kibinadamu” lililo umbali wa kilomita 20 (maili 12). Wapalestina wengi wamelalamika kuwa wako…

Read More

Bilioni 1.75 kujenga soko la samaki Chato, Majaliwa aahidi ushirikiao kwa wavuvi na wafugaji

Waziri Mkuu Kassim Majakiwa amesema Serikali inaendelea kujikita katika kuhakikisha inaimarisha na kuwashirikisha wavuvi na wafugaji katika mipango ya maendeleo. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Amesema hayo leo tarehe 3 Juni 2024 alipoweka jiwe la msingi la ujenzi wa soko la samaki la kisasa la Chato Beach, Chato mkoani Geita. Amesema kuwa mradi huo unaotoa…

Read More

Zaidi ya watu milioni moja wakimbia Rafah – DW – 03.06.2024

Shrika la UNRWA lilisema Jumatatu (03.06.2024) kuwa maelfu ya familia sasa wanapata hifadhi katika maeneo na miundombinu zilizoharibiwa katika jiji la Khan Younis, ambapo shirika hilo linatoa huduma muhimu licha ya changamoto zinazoongezeka. Shirika hilo limesema linafanya kazi katika mazingira magumu. Kulingana wizara ya afya ya Gaza watu wasiopungua 19 waliuwawa katika mashambulizi ya Israel usiku…

Read More

Wazir Junior atua kwenye rada za Ihefu

KAMA mambo yakienda  sawa, mshambuliaji aliyemaliza mkataba wake KMC, Waziri Junior anaweza akasaini muda wowote kuanzia leo Jumanne, baada ya kurejea kutoka katika majukumu ya Taifa Stars. Mmoja wa kiongozi wa Ihefu, alisema kila kitu kuhusu Junior kinakwenda vizuri, walikuwa wanamsubiri arejee kutoka katika majukumu ya timu ya taifa ‘Taifa Stars’, ambayo ilikwenda nchini Indonesia….

Read More

Mustakabali wa David Raya ndani ya Arsenal.

Arsenal wanatarajiwa kuanzisha kipengele cha kumnunua David Raya kwa pauni milioni 27. Romano anafichua kuwa Arsenal wanatarajiwa kuendelea na hatua rasmi za kuamsha kipengele cha kumnunua David Raya cha pauni milioni 27 siku zijazo. Iwapo Arsenal itaanzisha kipengele cha kumnunua David Raya cha pauni milioni 27, itaashiria kujitolea kwao kuimarisha chaguo lao la walinda mlango….

Read More

Ramaphosa asema hakuna nafasi ya vurugu Afrika Kusini – DW – 03.06.2024

Matokeo rasmi yaliyotangazwa siku ya Jumapili, yalikuwa mabaya kwa chama tawala cha African National Congress ANC, ambacho ni chama kikongwe cha ukombozi barani Afrika kilichowahi kuongozwa na Nelson Mandela miaka 30 iliyopita na kuondoa utawala wa wazungu. Wapiga kura waliokasirishwa na kupanda kwa viwango vya ukosefu wa ajira, uchumi kuyumba na kutokuwa unavyohitajika, kutokuwa na…

Read More

Jah Pipo alivyotajwa, katekista kutiwa mbaroni-2

Njombe.  Jana, katika simulizi hii katekista Daniel Mwalango au ‘Dani’ alipanga  na kutekeleza mauaji Nickson Myamba kisha akaanza kutumia simu ya marehemu, kutuma ujumbe (SMS) kwa mkewe na kiongozi mwingine wa kanisa akijifanya ndiye Myamba. Makala haya yanaegemea hukumu iliyotolewa Desemba 12, 2023 na Jaji Said Kalunde wa Mahakama Kuu Kanda ya Iringa, baada ya…

Read More