Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) limesema kuwa wakimbizi wa kulazimishwa kuhama makazi yao wamefikia zaidi ya watu milioni moja
Month: June 2024

Waziri Mkuu Kassim Majakiwa amesema Serikali inaendelea kujikita katika kuhakikisha inaimarisha na kuwashirikisha wavuvi na wafugaji katika mipango ya maendeleo. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Shrika la UNRWA lilisema Jumatatu (03.06.2024) kuwa maelfu ya familia sasa wanapata hifadhi katika maeneo na miundombinu zilizoharibiwa katika jiji la Khan Younis, ambapo shirika hilo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akitunukiwa Udaktari wa Falsafa wa Heshima (Honoris Causa) kwenye Sekta ya Anga na Rais

KAMA mambo yakienda sawa, mshambuliaji aliyemaliza mkataba wake KMC, Waziri Junior anaweza akasaini muda wowote kuanzia leo Jumanne, baada ya kurejea kutoka katika majukumu ya

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa Soko la Samaki la Kisasa la Chato Beach katika mji mdogo wa Chato mkoani

Arsenal wanatarajiwa kuanzisha kipengele cha kumnunua David Raya kwa pauni milioni 27. Romano anafichua kuwa Arsenal wanatarajiwa kuendelea na hatua rasmi za kuamsha kipengele cha

Matokeo rasmi yaliyotangazwa siku ya Jumapili, yalikuwa mabaya kwa chama tawala cha African National Congress ANC, ambacho ni chama kikongwe cha ukombozi barani Afrika kilichowahi

Njombe. Jana, katika simulizi hii katekista Daniel Mwalango au ‘Dani’ alipanga na kutekeleza mauaji Nickson Myamba kisha akaanza kutumia simu ya marehemu, kutuma ujumbe (SMS)

MRADI wa Nyumba za Kifahari kwa ajili ya Watalii (AZURE) wenye bilioni 24 wazinduliwa rasmi Visiwani Unguja Wawekezaji wawekewa Mazingira rafiki kwa Uwekezaji wenye Tija