Wananchi waendelea kusisitiza rais apunguziwe madaraka

Arusha. Wananchi wameendelea kung’ang’ania kipengele cha kupunguza madaraka ya Rais kiwekwe kwenye Rasimu ya Katiba Mpya ikiwemo uwezo wa kuteua wakuu wa mikoa, wilaya, wakurugenzi wa halmashauri. Wakitaka  nafasi hizo ziombwe na wasomi waliopo nchini kupitia ofisi ya Tamisemi. Mbali na hilo, wamesema kuwa Rais aondolewe uwezo wa nafasi 10 za kuteua wabunge, Katibu wa…

Read More

Lissu: Wananchi msikubali wagombea kuenguliwa kirahisi uchaguzi ujao

Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)-Bara, Tundu Lissu amewataka wananchi kutokubali wagombea wao kuenguliwa kirahisi kwenye  uchaguzi wa Serikali za mitaa unaotarajia kufanyika mwishoni mwa mwaka huu.  Amesema wananchi kama kujifunza walishapata somo zuri kwenye uchaguzi uliopita wa ngazi hiyo uliofanyika mwaka 2019, ambapo amedai kuwa walienguliwa wagombea  wote…

Read More

Compact Energies yashinda tuzo ya huduma bora Afrika

Kampuni ya Compact Energies Limited inayohusika na uzalishaji wa umeme Jua imeshinda tuzo ya makampuni makubwa barani Afrika katika utoaji wa huduma wa sekta ya Nishati katika vipengele vitatu vya, Uhandisi, Manunuzi na Matengeneyo ya Umeme Jua (Engineering, Procurement and Construction Solar Energy Company of the year 2024 in Large Size Category). Tuzo hizo zinazojulikana…

Read More

Makada wanne Chadema wajitosa nafasi ya Lema Kaskazini

Dar es Salaam. Siku nne baada ya Mwenyekiti wa Chadema anayemaliza muda wake Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema kutangaza kutogombea tena nafasi hiyo, baadhi ya makada wamejitokeza na kutangaza nia ya kurithi mikoba yake. Baadhi ya makada hao ambao Mwananchi iliwahi kuwatafuta Aprili mwaka huu, kujua kama wangegombea lakini wakasita kutoa jibu la moja kwa…

Read More

Mzungu wa Yanga azikumbuka dabi

BAADA ya kudumu kwa msimu mmoja hatimaye kiungo mshambuliaji wa Yanga Princess, Kaeda Wilson anarudi nchini Marekani lakini akiwa na kumbukumbu ya kufunga mabao kwenye mechi za dabi. Kiungo huyo ataondoka nchini mwezi huu kuendelea na masomo kwenye Chuo cha UTAH kilichopo nchini kwao baada ya kucheza Yanga msimu mmoja. Mchezaji huyo hadi raundi ya…

Read More

Madeni yatajwa kuchangia changamoto za afya ya akili

Dodoma. Ili kulinda afya ya akili watu wametakiwa kuishi kwenye kiwango cha maisha wanayoyamudu  na kuachana na maisha ya gharama kubwa, ambayo yanawaingiza kwenye madeni wasiyoweza kuyalipa. Kauli hiyo imetolewa leo Jumapili Juni 02, 2024 na daktari bingwa wa magonjwa na afya ya akili kutoka Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe, Dk Godwin…

Read More

Wajasiriamali wahimizwa kuthibisha bidhaa TBS

Na Mwandishi Wetu, Geita WANANCHI wamehimizwa kununua na kutumia bidhaa zilizothibitishwa ubora na Shirika la Viwango Tanzania (TBS) pamoja na kuhakikisha bidhaa wanazotumia hazijaisha muda wake wa matumizi ili kulinda afya zao. Ushauri huo ulitolewa na Afisa Udhibiti Ubora wa TBS, James James kwenye Maonesho ya Fahari ya Geita yaliyohudhuriwa na wajasiriamali, wafanyabiashara na wadau…

Read More

Mzambia ang’olewa Yanga, Mourinho afunguka kurejea

MWISHONI mwa msimu huu, inaelezwa Yanga Princess itaachana na kocha mkuu, Charles Haalubono baada ya timu hiyo kufanya vibaya kwenye Ligi Kuu ya wanawake (WPL) na jicho la wananchi lipo kwa Edna Lema ‘Mourinho’ kuwa mbadala wake. Huu unaweza kuwa msimu mbaya zaidi kwa Yanga baada ya kufungwa na timu tatu tofauti nyumbani na ugenini…

Read More