Kelvin ‘Mbappe’ kanyanyua upanga Denmark

KUNYANYUA upanga juu ni ishara tosha kuwa tayari kwa mapambano. Ndio! yupo tayari Kelvin John kwa hilo ikiwa ni siku chache tu tangu atambulishwe kuwa mchezaji mpya wa Aalborg BK ya Denmark baada ya kumaliza mkataba wa kuichezea  KRC Genk ya Ubelgiji. Licha ya mambo kutomwendea vile ilivyokuwa ikitarajiwa na wengi ndani ya miaka mitatu…

Read More

ANC kuvishawishi vyama vingine kumuunga mkono Ramaphosa bungeni

Johannesburg, Afrika Kusini. chama cha African National Congress (ANC), kimesema kuwa kitavishawishi vyama vingine kuunga mkono kuchaguliwa  tena kwa Cyril Ramaphosa bungeni ili kumruhusu kuunda uongozi. Chama hicho kimetoa kauli hiyo leo Juni 2,2024 kufuatia kuhesabiwa asilimia  99 za uchaguzi uliofanyika Mei 29,2024 ambapo chama hicho kiliongoza  kwa asilimia 40.2 katika uchaguzi huo,  chama cha…

Read More

Wakili Mwabukusi ajitosa kuwania urais TLS, Heche ajiweka kando

Wakati Kamati ya Uchaguzi wa Chama cha Wanasheria Tanganyika Law Society  (TLS) ikiongeza muda kwa wanachama zaidi kujitokeza kugombea nafasi mbalimbali, wakili Boniface Mwabukusi ajitosa kuwania urais, huku mwenyekiti wa AYL anayemaliza muda wake  Edward Heche akieleza kuwa hatogombea tena. Chama hicho kinatarajia kufanya uchaguzi wake mkuu Agosti 2, 2024, jijini Dodoma, kuwapata viongozi wapya…

Read More

NBC yazindua akaunti ya mfugaji kupiga jeki sekta ya mifugo

Benki ya Taifa ya Biashara NBC) imezindua ‘Akaunti ya Mfugaji’ mahususi kwa ajili ya wadau wa sekta ya ufugaji nchini wakiwemo wafugaji, wanenepeshaji mifugo, wafanyabiashara wa mifugo, wasafirishaji wa mifugo na wadau mbalimbali wanaohudumia sekta hiyo muhimu kiuchumi. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Huduma hiyo ya kwanza kutambulishwa na benki ya biashara nchini  ni maalumu kwa…

Read More

Wakili Mwambukusi ajitosa kuwania urais TLS, Heche ajiweka kando

Wakati Kamati ya Uchaguzi wa Chama cha Wanasheria Tanganyika Law Society  (TLS) ikiongeza muda kwa wanachama zaidi kujitokeza kugombea nafasi mbalimbali, wakili Boniface Mwabukusi ajitosa kuwania urais, huku mwenyekiti wa AYL anayemaliza muda wake  Edward Heche akieleza kuwa hatogombea tena. Chama hicho kinatarajia kufanya uchaguzi wake mkuu Agosti 2, 2024, jijini Dodoma, kuwapata viongozi wapya…

Read More