KOCHA Mkuu wa Geita Gold iliyoshuka kwenda Ligi ya Championship, Denis Kitambi amesema hatima yake itaamuliwa na bodi ya timu baada ya kufanya tathmini ya
Month: June 2024

Manyara. Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Dk Emmanuel Nchimbi amesema viongozi wa chama hicho na wale wa Serikali wasioguswa na matatizo ya wananchi,

CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimesema Chama tawala Cha Mapinduzi (CCM), kinapaswa kijifunze kupitia anguko la chama tawala nchini Afrika Kusini (ANC), lililotokana na chama hicho kutojali

Njombe. “Baada ya kuona amekufa, mimi nilichukua panga na kuanza kumkata kuanzia kiunoni nikamtenganisha mara mbili,” hayo ni maelezo ya Katekista Daniel Mwalango wa kigango

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Korea Mhe. Yoon Suk Yeol wakati

MWANASIASA mkongwe nchini Tanzania, Frederick Sumaye amesema hakuna chama cha siasa cha upinzani kinachoweza kuendesha nchi zaidi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anaripoti Mwandishi Wetu,

Arusha. Mkuu wa Wilaya ya Arusha mjini, Felician Mtahengerwa amezidi kukoleza moto wa vita ya maneno dhidi yake na Mbunge wa Arusha Mjini, Mrisho Gambo

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi, akihutubia wananchi na kusikiliza kero zao mbalimbali, wakati na baada ya mkutano wa

MWISHO wa ubishi. Ile siku iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu na mashabiki wa soka nchini, ndo leo. Ndio, Yanga wanaotetea taji la michuano ya Kombe la

Mshambuliaji wa Simba, Fred Kouablan ameibuka mfungaji Bora wa Ligi Kuu Zambia lakini akiwa nje ya Ligi hiyo kwa muda mrefu. Kouablan, ameibuka kinara wa