Kitambi aisikilizia Geita Gold | Mwanaspoti

KOCHA Mkuu wa Geita Gold iliyoshuka kwenda Ligi ya Championship, Denis Kitambi amesema hatima yake itaamuliwa na bodi ya timu baada ya kufanya tathmini ya kumalizika msimu, huku akichomoa kueleza msimamo wake. Geita imeshuka Ligi Kuu sambamba na Mtibwa Sugar baada ya kudumu kwa misimu mitatu ikimaliza nafasi ya 15, ikivuna pointi 25 kupitia mechi…

Read More

Dk Nchimbi atuma ujumbe kwa viongozi wa CCM, Serikali

Manyara. Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Dk Emmanuel Nchimbi amesema viongozi wa chama hicho na wale wa Serikali wasioguswa na matatizo ya wananchi, hawatoshi kwenye nafasi hizo. Dk Nchimbi ameyasema hayo leo Jumapili, Juni 2, 2024 katika eneo la Mijingu, Mkoa wa Manyara, akiwa njiani kuelekea mkoani Arusha kuendelea na ziara ya kufuatilia…

Read More

CCM yatakiwa kujifunza anguko la ANC Afrika kusini

CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimesema Chama tawala Cha Mapinduzi (CCM), kinapaswa kijifunze kupitia anguko la chama tawala nchini Afrika Kusini (ANC), lililotokana na chama hicho kutojali matatizo ya wananchi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea). Onyo hilo limetolewa leo tarehe 1 Juni 2024 na Katibu Mkuu wa ACT-Wazalendo, Ado Shaibu, akizungumza na vionglzi wa chama hicho…

Read More

Simulizi Katekista alivyoua, kutenganisha mwili vipande viwili-1

Njombe. “Baada ya kuona amekufa, mimi nilichukua panga na kuanza kumkata kuanzia kiunoni nikamtenganisha mara mbili,” hayo ni maelezo ya Katekista Daniel Mwalango wa kigango cha Makambako cha Kanisa Katoliki, akisimulia alivyomuua Nickson Myamba. Ni simulizi ambayo itakuacha mdomo wazi hasa ikizingatiwa kuwa Katekista huyo ni kiongozi wa kiroho anayehubiri waumini kutotenda dhambi na kuwa…

Read More

Sumaye airushia dongo Chadema

MWANASIASA mkongwe nchini Tanzania, Frederick Sumaye amesema hakuna chama cha siasa cha upinzani kinachoweza kuendesha nchi zaidi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea). Sumaye ametoa kauli hiyo akihutubia katika mkutano wa hadhara wa Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Emanuel Nchimbi, uliofanyika mkoani Manyara. Licha ya kutotaja jina, Sumaye amedai kuna…

Read More

DC, Mbunge watunishiana misuli Arusha

Arusha. Mkuu wa Wilaya ya Arusha mjini, Felician Mtahengerwa amezidi kukoleza moto wa vita ya maneno dhidi yake na Mbunge wa Arusha Mjini, Mrisho Gambo baada ya kurusha vijembe akisema; ‘Mwanaume ni mmoja wilayani, hivyo sina muda wa kubishana’. Pia ameongeza kuwa kauli anazozisema ni mhemko baada ya kuona mkusanyiko wa watu, wala hakuna ajenda…

Read More

Yanga, Azam fainali FA mechi ya kisasi, vita iko hapa

MWISHO wa ubishi. Ile siku iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu na mashabiki wa soka nchini, ndo leo. Ndio, Yanga wanaotetea taji la michuano ya Kombe la Shirikisho nchini, itavaana na Azam katika fainali ya kisasi inayopigwa leo Jumapili kuanzia saa 2:15 usiku kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, visiwani hapa. Pambano hilo la fainali ya tisa…

Read More

Freddy afunika Zambia akiwa Simba

Mshambuliaji wa Simba, Fred Kouablan ameibuka mfungaji Bora wa Ligi Kuu Zambia lakini akiwa nje ya Ligi hiyo kwa muda mrefu. Kouablan, ameibuka kinara wa mabao Zambia kwa mabao yake 14 ambayo hakuna mchezaji aliyeifikia licha ya straika huyo kuondoka nchini humo tangu Januari kwa ajili ya kujiunga na Simba. Na baada ya kutua Simba,…

Read More