Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: June 2024

  • Home
  • 2024
  • June
  • Page 255
Habari

Zuma atoa onyo iwapo IEC itatangaza matokeo ya uchaguzi leo

June 2, 2024 Admin

Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Jacob Zuma ametishia kuchukua hatua ya kisheria ya kuizuia Tume ya Uchaguzi ya nchi hiyo (IEC) kutangaza matokeo ya

Read More
Michezo

Kouablan afunika Zambia akiwa Simba

June 2, 2024 Admin

Mshambuliaji wa Simba, Fred Kouablan ameibuka mfungaji Bora wa Ligi Kuu Zambia lakini akiwa nje ya Ligi hiyo kwa muda mrefu. Kouablan, ameibuka kinara wa

Read More
Habari

Umoja wa Mataifa waguswa na ripoti ya kuongezeka mauaji ya raia nchini Burkina Faso

June 2, 2024 Admin

Tume ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa imetangaza kuwa, imeguswa na ripoti za kuongezeka mauaji dhidi ya raia nchini Burkina Faso. Tume ya

Read More
Habari

Dk. Biteko apongeza mikakati ya kuinua elimu Dodoma

June 2, 2024 Admin

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Dotto Biteko amepongeza Mbunge wa Dodoma Mjini (CCM) pamoja na uongozo wa Jiji la Dodoma kwa mikakati

Read More
Michezo

Mechi ya kisasi Yanga, Azam

June 2, 2024 Admin

MWISHO wa ubishi. Ile siku iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu na mashabiki wa soka nchini, ndo leo. Ndio, Yanga wanaotetea taji la michuano ya Kombe la

Read More
Habari

Zohreh Elahian, mwanamke wa kwanza kujiandikisha kuwania urais Iran 2024

June 2, 2024 Admin

Mbunge wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran), Zohreh Elahian amekuwa mwanamke wa kwanza kujiandikisha kugombea uchaguzi wa mapema wa duru ya 14

Read More
Burudani

Samia awavuta wasanii Korea kuigiza na Watanzania

June 2, 2024 Admin

Sekta ya Filamu nchini Jamhuri ya Korea imeahidi kushirikiana na sekta ya filamu nchini Tanzania ili iweze kuzalisha filamu zenye viwango vya Kimataifa zitakazovutia watu

Read More
Habari

Shule zimefungwa, ni zamu ya wazazi kufunda watoto wao

June 2, 2024 Admin

Shule zimefungwa, watoto wamehitimu muhula wa kwanza wa masomo. Ni wazi kuwa kila mzazi sasa analo jukumu la kukaa karibu na watoto wake kwa lengo

Read More
Habari

Matatizo ya mzazi yanavyoweza kumuathiri mtoto

June 2, 2024 Admin

“Licha ya kwamba familia yetu haina uwezo, nilikuwa na amani kuishi na mama yangu, sikujali magumu tuliyopitia, lakini siku alipoamua kutoweka ghafla baada ya kuzidiwa

Read More
Magazeti

MISA-TAN YATOA TUZO KWA VINARA WA UHURU WA KUJIELEZA TANZANIA

June 2, 2024 Admin

  Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi (kushoto) akikabidhi tuzo kwa Richard Mabala – Picha na Kadama Malunde     Na Marco Maduhu, Dar es salaam

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 254 255 256 … 263 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.