Zuma atoa onyo iwapo IEC itatangaza matokeo ya uchaguzi leo

Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Jacob Zuma ametishia kuchukua hatua ya kisheria ya kuizuia Tume ya Uchaguzi ya nchi hiyo (IEC) kutangaza matokeo ya uchaguzi mkuu leo Jumapili kama ilivyoratibiwa. Zuma alitoa onyo hilo jana, baada ya chama chake cha Mkhonto weSizwe (MK) kutaka uchaguzi huo ufanyike upya, kikidai kuwa tayari kimewasilisha ithibati na vielelezo…

Read More

Kouablan afunika Zambia akiwa Simba

Mshambuliaji wa Simba, Fred Kouablan ameibuka mfungaji Bora wa Ligi Kuu Zambia lakini akiwa nje ya Ligi hiyo kwa muda mrefu. Kouablan, ameibuka kinara wa mabao Zambia kwa mabao yake 14 ambayo hakuna mchezaji aliyeifikia licha ya straika huyo kuondoka nchini humo tangu Januari kwa ajili ya kujiunga na Simba. Na baada ya kutua Simba,…

Read More

Dk. Biteko apongeza mikakati ya kuinua elimu Dodoma

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Dotto Biteko amepongeza Mbunge wa Dodoma Mjini (CCM) pamoja na uongozo wa Jiji la Dodoma kwa mikakati ya kuboresha na kukuza elimu iliyosheheni ubunifu.  Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Dk. Biteko ametoa pongezi hizo leo  Jumamosi wakati akifungua mkutano wa wakuu wa Shule za msingi na sekondari na…

Read More

Mechi ya kisasi Yanga, Azam

MWISHO wa ubishi. Ile siku iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu na mashabiki wa soka nchini, ndo leo. Ndio, Yanga wanaotetea taji la michuano ya Kombe la Shirikisho nchini, itavaana na Azam katika fainali ya kisasi inayopigwa leo Jumapili kuanzia saa 2:15 usiku kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, visiwani hapa. Pambano hilo la fainali ya tisa…

Read More

Samia awavuta wasanii Korea kuigiza na Watanzania

Sekta ya Filamu nchini Jamhuri ya Korea imeahidi kushirikiana na sekta ya filamu nchini Tanzania ili iweze kuzalisha filamu zenye viwango vya Kimataifa zitakazovutia watu wengi zaidi duniani.  Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Ahadi hiyo imetolewa na Rais wa Umoja wa Watayarishaji wa Filamu wa Korea (Korean Films Producers Association-KFPA), Eun Lee mbele ya Rais wa…

Read More

Matatizo ya mzazi yanavyoweza kumuathiri mtoto

“Licha ya kwamba familia yetu haina uwezo, nilikuwa na amani kuishi na mama yangu, sikujali magumu tuliyopitia, lakini siku alipoamua kutoweka ghafla baada ya kuzidiwa na madeni maisha yangu yalianza kuharibika.” Hayo ni maneno ya Amina Salum, mwanafunzi wa kidato cha tano katika Shule ya Sekondari Mashujaa, akiwa miongoni mwa wanafunzi walioondolewa kwenye hatari ya…

Read More