
Dk. Biteko ampongeza Mavunde kwa Teachers Breakfast Meeting 2024 Dodoma
Na Ramadhan Hassan, Dodoma NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Madini, Dk. Doto Biteko amewataka walimu wa shule za Msingi na Sekondari jijini Dodoma kumuunga mkono Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini, Antony Mavunde kwa kufanyakazi kwa bidii kwa kuhakikisha wanaongeza ufaulu katika Jiji hilo. Kauli hiyo ameitoa leo Jumamosi Juni 1,2024 wakati akizungumza na…