Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: June 2024

  • Home
  • 2024
  • June
  • Page 257
Habari

Dk. Biteko ampongeza Mavunde kwa Teachers Breakfast Meeting 2024 Dodoma

June 1, 2024 Admin

Na Ramadhan Hassan, Dodoma NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Madini, Dk. Doto Biteko amewataka walimu wa shule za Msingi na Sekondari jijini Dodoma kumuunga

Read More
Habari

ANC isipofikisha asilimia 50 ya kura, hiki kitatokea

June 1, 2024 Admin

Johannesburg. Ni wazi kwamba Chama cha African National Congress (ANC) cha Afrika Kusini kimeporomoka kimvuto na ushawishi kwa wapigaa kura.  Kwa mara ya kwanza tangu

Read More
Michezo

Simba SC yaingilia dili la winga Yanga

June 1, 2024 Admin

MABOSI wa Simba wajanja sana. Kwa sasa wameamua kufanya mambo yao kimyakimya katika kuimarisha kikosi cha timu hiyo kwa msimu ujao ili kurudisha heshima mjini

Read More
Habari

Jamii yahimizwa kulinda, kuheshimu haki za watoto

June 1, 2024 Admin

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Wakati dunia ikisherehekea Siku ya Kimataifa ya Watoto, wito umetolewa kwa jamii kuheshimu haki za watoto na kuhakikisha wanalindwa wakati

Read More
Habari

Usajili matibabu bure kwa makundi maalumu mbioni

June 1, 2024 Admin

Unguja. Wasimamizi wa jumuiya zinazohudumia kaya masikini na watoto yatima,  wametakiwa kusimamia kikamilifu usajili wa kundi hilo katika Mfuko wa Huduma za Afya Zanzibar (ZHSF)

Read More
Habari

TBS YASISITIZA WAFANYABIASHARA KUZINGATIA VIWANGO

June 1, 2024 Admin

Raisa Said, Tanga Shirika la Viwango Tanzania (TBS ) limesisitiza wafanyabiashara kuzingatia bidhaa zao zimekidhi matakwa ya viwango kwani kwa wale wasiofuata taratibu hatua kali

Read More
Habari

Mkondo wa maji chini ya ardhi waibua hofu Moshi

June 1, 2024 Admin

Moshi. Maji yanayotoka chini ya ardhi katika makazi ya wananchi na baadhi ya maeneo ya biashara eneo la Ngangamfumuni, Manispaa ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, yameibua

Read More
Habari

Jaji Tiganga ataka ushiriki wa sekta binafsi udhibiti taka ngumu

June 1, 2024 Admin

Arusha. Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Arusha, Joachimu Tiganga ameitaka Serikali kuishirikisha sekta binafsi na kuweka mazingira wezeshi ya kusaidia katika

Read More
Habari

TBS YAWAHIMIZA WAZALISHAJI WA BIDHAA ZA MAZIWA NCHINI KUTHIBITISHA UBORA

June 1, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu, Mwanza WAZALISHAJI wa maziwa na bidhaa zake nchini wameshauriwa kuthibitisha ubora wa bidhaa hizo Shirika la Viwango Tanzania (TBS) hatua ambayo itawawezesha

Read More
Habari

Chadema Morogoro mjini wapata viongozi wapya

June 1, 2024 Admin

Morogoro. Baada ya vuta nikuvute ya uchaguzi viongozi wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Morogoro mjini, hatimaye chama hicho kimepata viongozi wapya wa jimbo

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 256 257 258 … 263 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.