Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: June 2024

  • Home
  • 2024
  • June
  • Page 26
Habari

Profesa Janabi awamulika walaji wa nyama choma Arusha

June 27, 2024 Admin

Arusha. Matumizi ya chumvi yaliyopitiliza yametajwa kuwa chanzo cha magonjwa yasiyoambukiza kwa wananchi wengi wa Mkoa wa Arusha, ikiwemo kiharusi, shinikizo la juu la damu,

Read More
Habari

WAJASIRILIAMALI WAIOMBA SERIKALI KUWAPATIA ELIMU YA UJASIRIAMALI

June 27, 2024 Admin

NA: JOSEPHINE MAJULA, WF, TABORA Wajasiriamali wa Kata ya Tutuo, Wilaya ya Sikonge Mkoa wa Tabora, wameiomba Serikali kuwapatia elimu ya ujasiriamali ili waweze kuzalisha

Read More
Michezo

Kocha achelewesha kambi Simba, msala mzima upo hivi!

June 27, 2024 Admin

AWALI ilielezwa kambi ya Simba ingeanza rasmi leo Alhamisi kwa wachezaji wa zamani na wapya wangeanza kukutana Dar kabla ya kesho Ijumaa kufanya mkutano na

Read More
Habari

WCF yaanza kutoa mafunzo kwa madaktari na wakufunzi wa vyuo vya ufundi stadi

June 27, 2024 Admin

Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) umeanza kutoa mafunzo kwa Madaktari na Wakufunzi wa Vyuo vya Ufundi Stadi (Vocational Institutes) ili kutoa huduma kwa wanufaika

Read More
Habari

Dk. Mwinyi aipa tano Oryx kwa ujenzi wa bohari ya kuhifadhia gesi Znz

June 27, 2024 Admin

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ameipongeza Kampuni ya Oryx Gas kwa kujenga  bohari ya kwanza ya kuhifadhi

Read More
Habari

Wanne wana kesi ya kujibu mauaji ya Milembe

June 27, 2024 Admin

Geita. Washtakiwa wanne kati ya watano wanaodaiwa kumuua Milembe Suleman (43), wamekutwa na kesi ya kujibu na wataanza kujitetea kesho Juni 28, 2024. Akitoa uamuzi

Read More
Habari

AIR TANZANIA KUONGEZA SAFARI ZA KIMATAIFA

June 27, 2024 Admin

Katika kutanua wigo wa safari zake za kimataifa, Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) iko kwenye maandalizi ya kuanzisha safari za moja kwa moja kuelekea Muscat

Read More
Habari

Wanne wana kesi ya kujibu mauji ya Milembe

June 27, 2024 Admin

Geita. Washtakiwa wanne kati ya watano wanaodaiwa kumuua Milembe Suleman (43), wamekutwa na kesi ya kujibu na wataanza kujitetea kesho Juni 28, 2024. Akitoa uamuzi

Read More
Habari

Kukumbatia Tamaduni za kigeni ni hatari kwa maendeleo ya nchi-Dk. Biteko

June 27, 2024 Admin

*Asema ni chanzo cha mmomonyoko wa maadili *Ahusisha na ukatili wa kijinsia na mauaji ya Albino Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Naibu Waziri Mkuu na

Read More
Habari

Mdahalo wa Televisheni kati ya Biden na Trump – DW – 27.06.2024

June 27, 2024 Admin

Nchini Marekani macho yote yataelekezwa leo Alhamisi kwenye televisheni kutazama mpambano wa mdahalo muhimu kati ya Rais Joe Biden na Donald Trump, wagombea wawili katika

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 25 26 27 … 263 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.