Profesa Janabi awamulika walaji wa nyama choma Arusha

Arusha. Matumizi ya chumvi yaliyopitiliza yametajwa kuwa chanzo cha magonjwa yasiyoambukiza kwa wananchi wengi wa Mkoa wa Arusha, ikiwemo kiharusi, shinikizo la juu la damu, figo, na magonjwa ya moyo. Mkoa huo umetakiwa kuchukua hatua za haraka kudhibiti kiwango kikubwa cha shinikizo la juu la damu linalowakabili wananchi wengi. Hayo yamesemwa leo Alhamisi, Juni 27,…

Read More

WAJASIRILIAMALI WAIOMBA SERIKALI KUWAPATIA ELIMU YA UJASIRIAMALI

NA: JOSEPHINE MAJULA, WF, TABORA Wajasiriamali wa Kata ya Tutuo, Wilaya ya Sikonge Mkoa wa Tabora, wameiomba Serikali kuwapatia elimu ya ujasiriamali ili waweze kuzalisha bidhaa zenye ubora, ambazo zitakidhi ushindani wa soko ili kujikwamua kiuchumi. Ombi hilo limetolewa na Mwenyekiti wa Jukwaa la Wanawake Wajasiriamali Kata ya Tutuo, Wilaya ya Sikonge Mkoa wa Tabora,…

Read More

Kocha achelewesha kambi Simba, msala mzima upo hivi!

AWALI ilielezwa kambi ya Simba ingeanza rasmi leo Alhamisi kwa wachezaji wa zamani na wapya wangeanza kukutana Dar kabla ya kesho Ijumaa kufanya mkutano na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya klabu hiyo, Mohamed ‘Mo’ Dewji, mambo yamebadilika huku kocha mkuu akitajwa kuhusika. Habari kutoka ndani ya Simba zinasema, kambi ya Simba ya kulikusanya jeshi…

Read More

Wanne wana kesi ya kujibu mauaji ya Milembe

Geita. Washtakiwa wanne kati ya watano wanaodaiwa kumuua Milembe Suleman (43), wamekutwa na kesi ya kujibu na wataanza kujitetea kesho Juni 28, 2024. Akitoa uamuzi baada ya upande wa Jamhuri kuomba kufunga ushahidi wake kutoka kwa mashahidi 29 na vielezo 19, Jaji wa Mahakama hiyo, Kelvin Mhina amesema kwa mujibu wa ushahidi uliotolewa, washtakiwa wanne…

Read More

AIR TANZANIA KUONGEZA SAFARI ZA KIMATAIFA

Katika kutanua wigo wa safari zake za kimataifa, Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) iko kwenye maandalizi ya kuanzisha safari za moja kwa moja kuelekea Muscat nchini Oman. Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) Mhandisi Ladislaus Matindi alisema haya baada ya kukutana na Balozi wa Oman nchini Mhe. Saud bin Hilal Alshaidani tarehe 26…

Read More

Wanne wana kesi ya kujibu mauji ya Milembe

Geita. Washtakiwa wanne kati ya watano wanaodaiwa kumuua Milembe Suleman (43), wamekutwa na kesi ya kujibu na wataanza kujitetea kesho Juni 28, 2024. Akitoa uamuzi baada ya upande wa Jamhuri kuomba kufunga ushahidi wake kutoka kwa mashahidi 29 na vielezo 19, Jaji wa Mahakama hiyo, Kelvin Mhina amesema kwa mujibu wa ushahidi uliotolewa, washtakiwa wanne…

Read More