Aomba kura kwa kumwaga dua kwa wajumbe, apenya

Mwanza. Mungu hamtupi mja wake. Ndivyo unavyoweza kuelezea ushindi wa nafasi ya makamu mwenyekiti alioupata Mariam Mashibe baada ya kuanza kuwaombea wajumbe zaidi ya 300 kisha kutaja sera zake na kuomba kupigiwa kura. Mariam ambaye ni mkulima wa pamba na mazao mchanganyiko wilayani Kwimba, alikuwa miongoni mwa wagombea 13 wa nafasi tano ya ujumbe wa…

Read More

Anayedaiwa kuuawa na mkewe azikwa na mapadri zaidi ya tisa

Moshi. Mamia ya waombolezaji kutoka ndani na nje ya mji wa Moshi, mkoani Kilimanjaro wamefurika katika Parokia ya Bikira Maria Mtolewa Hekaluni, Katanini, Karanga kuuaga mwili wa Ephagro Msele (43) ambaye aliuawa na mkewe Beatrice Elias (36) akiwa nyumbani kwa mwanamke aliyezaa naye katika Kitongoji cha Pumuani A, Manispaa ya Moshi.  Msele ambaye ni mkazi…

Read More

Wahitimu watakiwa kutumia taaluma zao kujiajiri

Dar es Salaam. Wahitimu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam wametakiwa kutosubiri kuajiriwa serikalini au katika sekta binafsi, bali watafute namna ya kutumia ujuzi walioupata katika masomo yao kujipatia kipato. Hayo yameelezwa jana Ijumaa Mei 31, 2024 na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Profesa William Anangisye wakati wa mahafali ya…

Read More

WAHADHIRI NELSON MANDELA WATUNIKIWA VYETI KWA KUCHAPISHA TAFITI ZA KIMATAIFA

Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa (kushoto) mara baada ya kumkabidhi cheti Mhadhiri kutoka Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela Prof. Emmanuel Mpolya (kulia) ambaye ni miongoni mwa Wahadhiri waliopata tuzo kwa kuchapisha tafiti katika majarida yenye hadhi ya kimataifa. …….. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa amewapongeza…

Read More

Fainali FA Zazibar, Mzize, Sopu kazi ipo

ILE vita iliyokuwapo katika Ligi Kuu Bara iliyomalizika mapema wiki hii katika mbio za Mfungaji Bora inajirudia tena Zanzibar katika fainali ya Kombe la Shirikisho (FA). Katika Ligi Kuu Bara kulikuwa na vita ya nyota wa Yanga na Azam, Stephane Aziz KI (Yanga) na Feisal Salum ‘Fei Toto’ (Azam FC) kila mmoja akitokwa jasho na…

Read More

WALIMU SEKONDARI FUNDISHENI KIINGEREZA KWA UMAHIRI-Dkt. Msonde

Na. James Mwanamyoto, OR-TAMISEMI Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-TAMISEMI (Elimu) Dkt. Charles Msonde amewataka walimu wa shule za Sekondari nchini kufundisha wanafunzi lugha ya kiingereza kwa umahiri ili kuwawezesha kupata ufaulu mzuri katika masomo yote ya mtihani wa kidato cha nne, ikizingatiwa kuwa kiingereza ndio lugha rasmi ya kufundishia. Dkt. Msonde ametoa wito huo…

Read More

MisaTan: Vyombo vya habari vitoe elimu ya uchaguzi

Dar es Salaam. Kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu, asasi mbalimbali za kiraia pamoja na vyombo vya habari nchini vimetakiwa kushirikiana kuhakikisha elimu ya uraia na ushiriki katika masuala ya uchaguzi inafika kwa wananchi bila kuweka kando kundi lolote. Wito huo umetolewa  Mei 31 na Mkurugenzi wa Taasisi ya Vyombo vya Habari…

Read More

Kompany, mazalia ya Pep yasikushangaze sana

MDOMO wazi? Kwamba? Vincent Kompany ni kocha mpya wa Bayern Munich? Kashangae vitu vingine. Hili halishangazi sana. Dunia inazunguka katika mhimili wake na wanadamu wapo kazini wakiendelea kumuamini mtu anayeitwa Pep Guardiola pamoja na mazalia yake. Wengi wameshangaa hili. Mtu ambaye ameishusha Burnley daraja, lakini sasa ameteuliwa kuwa kocha wa Bayern Munich, moja kati ya…

Read More

Serikali ya mseto yanukia Afrika Kusini baada ya ANC kuanguka

Vyama vya siasa nchini Afrika Kusini, vimeanza mazungumzo ya kujaribu kutengeneza muungano utakayowezesha kuunda Serikali ya mseto. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea). Hatua hiyo inakuja wakati huu chama tawala cha ANC kikionekana kupoteza idadi kubwa ya viti kwa mara ya kwanza katika kipindi cha miaka 30. Licha ya kuwa chama hicho cha muasisi wa…

Read More