Kodi mafuta ya kula ya nje kupanda 2024/25

Singida. Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amesema Serikali inatarajia kuongeza kodi kwenye mafuta ya kula yanayotoka nje ya nchi katika bajeti ya mwaka 2024/25, ili kuwalinda wakulima wa alizeti. Pia, inakwenda kujenga soko kubwa na la kisasa la vitunguu mkoani Singida, na ujenzi wa mradi mkubwa wa umwagiliaji mkoani humo wenye thamani ya zaidi ya…

Read More

MAELFU YA WANANCHI WAFURIKA KUAGA MWILI WA BABA MZAZI WA MBUNGE KOKA

NA VICTOR MASANGU,KILIMANJARO Maelfu ya  wananchi,viongozi, wa serikali,wakiwemo mawaziri  wakuu wa Wilaya wakuu wa Mikoa,Wabunge  viongozi wa  dini,madiwani na viongozi wa mashirika wamejitokeza kwa kwa ajili ya kumzika aliyekuwa Baba mzazi wa Mbunge wa Jimbo la Kibaha mjini mzee Francis Koka  katika nyumba yake ya milele. Mazishi hayo ambayo yamefanyika nyumbani kwa marehemu  katika eneo…

Read More