NCC yaja na mbinu kukabili migogoro sekta ya ujenzi

Dar es Salaam. Ili kuharakisha umalizaji wa migogoro katika sekta ya ujenzi, Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) linaendesha mafunzo ya utatuzi wa migogoro nje ya mahakama kwa wadau mbalimbali wa sekta hiyo. Hatua hiyo inaelezwa itasaidia kupatikana kwa suluhu ya haraka kwa migogoro inayoibuka katika sekta hiyo, hivyo kuchangia kazi za ujenzi ziendelee na…

Read More

Wakazi wa kijiji cha Kondo waonywa kuharibu misitu ya mikoko

Na Upendo Mosha, Bagamoyo WAKAZI wa kijiji Kondo, wilayani Bagamoyo, mkoani Pwani wameonywa kuacha tabia ya kuharibu Mistu ya mikoko iliyopo pembezoni mwa habari ya Hindi, ili kuthibiti tatizo la kuharibu wa mazingira na mazalia ya samaki. Rai hiyo ilitolewa Jana na Mkurugenzi wa uratibu na ufuatiliaji wa mfuko wa maendeleo ya jamii nchini(TASAF), Haika…

Read More

DC LUDEWA APOKEA MSAADA WA VIFAA TIBA

Na Damian Kunambi, Njombe  Mkuu wa Wilaya ya Ludewa Victoria Mwanziva amepokea msaada wa vifaa tiba mbalimbali vilivyotolewa na kampuni ya Kuambiana Investment ambavyo vimelenga kuhudumka kituo cha afya Kata ya Luilo na Manda ambapo miongoni mwa vifaa hivyo ni magodoro, vitanda, baiskeli za wagonjwa pamoja na mashuka. Akipokea msaada huo Mwanziva amempongea mkurugenzi wa…

Read More

Polisi watumia risasi za mpira, Ruto ataka mazungumzo

Nairobi. Licha ya Rais William Ruto kufutilia mbali muswada wa Sheria ya Fedha uliopendekeza Ongezeko la Kodi, vijana nchini Kenya leo Alhamisi Juni 27, 2024 wameendelea kuandamana huku polisi wakiwafyatulia risasi za mpira na mabomu ya machozi. Maandamano hayo yakiongozwa na vijana maarufu Gen Z, yamezipuuza mamlaka na Serikali ya Ruto ikabaki njiapanda, kati ya…

Read More

Straika la mabao latua Mashujaa

KLABU ya Mashujaa ya mkoani Kigoma imekamilisha usajili wa aliyekuwa mshambuliaji wa Mtibwa Sugar, Seif Rashid Karihe kwa mkataba wa mwaka mmoja huku kukiwa na kipengele cha kuongeza mwingine endapo watavutiwa na uwezo wake. Msimu uliopita, licha ya Mtibwa kushuka daraja baada ya mwenendo mbaya, nyota huyo alionyesha uwezo mkubwa na kufunga mabao saba na…

Read More