Dar es Salaam. Ili kuharakisha umalizaji wa migogoro katika sekta ya ujenzi, Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) linaendesha mafunzo ya utatuzi wa migogoro nje
Month: June 2024

Kampuni ya kuuza nishati ya gesi ya kupikia majumbani ya Taifa Gas Limited imezindua mpango wake maalum unaotoa punguzo la bei ya nishati hiyo kwa

Na Upendo Mosha, Bagamoyo WAKAZI wa kijiji Kondo, wilayani Bagamoyo, mkoani Pwani wameonywa kuacha tabia ya kuharibu Mistu ya mikoko iliyopo pembezoni mwa habari ya

Viongozi wa Umoja wa Ulaya wako tayari kuwaidhinisha Ursula von der Leyen, António Costa na Kaja Kallas kama viongozi wakuu wa taasisi hiyo inayoyajumuisha

Na Damian Kunambi, Njombe Mkuu wa Wilaya ya Ludewa Victoria Mwanziva amepokea msaada wa vifaa tiba mbalimbali vilivyotolewa na kampuni ya Kuambiana Investment ambavyo vimelenga

Na Gideon Gregory, Dodoma. Serikali pamoja na uongozi wa jumuiya ya wafanyabiashara nchini (JWT) wameafikiana kusimamia maazimio 15 ambayo ndani yake serikali imetoa maagizo kwa

Wakati mapigano baina ya jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na waasi wa M23 yakiendelea kupamba moto katika baadhi ya maeneo mkoani Kivu Kaskazini.

Nairobi. Licha ya Rais William Ruto kufutilia mbali muswada wa Sheria ya Fedha uliopendekeza Ongezeko la Kodi, vijana nchini Kenya leo Alhamisi Juni 27, 2024

Dar es Salaam. Shahidi wa pili katika kesi ya ukahaba inayowakabili washtakiwa watano katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Sokoine Drive, ameileza mahakama hiyo kuwa waliwakamata

KLABU ya Mashujaa ya mkoani Kigoma imekamilisha usajili wa aliyekuwa mshambuliaji wa Mtibwa Sugar, Seif Rashid Karihe kwa mkataba wa mwaka mmoja huku kukiwa na