Geita. Mahakama Kuu Kanda ya Geita imewaachia huru washtakiwa wanne waliokuwa wakikabiliwa na shtaka la kumuua kwa kukusudia aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Geita,
Month: June 2024

MWANAMUZIKI mkongwe wa muziki wa dansi nchini, Nguza Viking ‘Babu Seya’ amefurahishwa na tetesi za usajili kwamba huenda kiungo wa Simba, Clatous Chama akajiunga na

Kiongozi wa Korea Kaskazini alisaini makubaliano ya kina ya ushirikiano wa kimkakati na Rais wa Urusi Vladmir Putin, wakati rais huyo alipoizuru Korea Kaskazini, wiki iliyopita.

Mwanza. Mgomo wa wafanyabiashara wa maduka jijini Mwanza umeingia siku ya tatu huku waendesha maguta, madereva wa malori ya mizigo, mama lishe na wabeba mizigo
Mwenyekiti wa Umoja wa Chama cha Wakandarasi Tanzania (TUCASA) wakati akizungumza na waandishi wa habari katika Kongamano la Wakandarasi linalofanyika Juni 27, 28, 2024 jijini

KIUNGO wa Simba, Sadio Kanouté ‘Putin’ yupo mguu ndani, mguu nje kuwepo katika kikosi hicho kwa msimu ujao baada ya kuwatikisa mabosi wa klabu hiyo

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Madini iendelee kushirikiana na wadau mbalimbali ndani na nje ya nchi katika kutafuta teknolojia mbalimbali za uongezaji thamani

Unguja. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Abdulla amesema Serikali inaendelea kuhakikisha inadhibiti bidhaa kupanda bei, ili kuwapunguzia makali ya maisha wananachi. Akiahirisha

Na John Mapepele Mchezaji wa kimataifa wa soka kutoka Morocco anayechezea timu ya PSG, Archraf Hakimi leo ametoa msaada wa vifaa mbalimbali kwa wanafunzi zaidi

KAMPUNI ya SportPesa imemtangaza mchekeshaji, Joe Master kuwa Balozi mpya kutangaza bidhaa za kampuni hizo. Joe Master analeta uzoefu na ujuzi mkubwa wa tasnia ya