Walioshtakiwa wakidaiwa kumuua Mawazo waachiwa huru

Geita. Mahakama Kuu Kanda ya Geita imewaachia huru washtakiwa wanne waliokuwa wakikabiliwa na shtaka la kumuua kwa kukusudia aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo. Hukumu hiyo imetolewa juzi Juni 25, 2024 na Jaji wa Mahakama hiyo, Graffin Mwakapeje baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka kuona hana nia ya kuendelea na kesi hiyo. Washtakiwa…

Read More

Babu Seya afunguka usajili wa Chama Jangwani

MWANAMUZIKI mkongwe wa muziki wa dansi nchini, Nguza Viking ‘Babu Seya’ amefurahishwa na tetesi za usajili kwamba huenda kiungo wa Simba, Clatous Chama akajiunga na timu ya Yanga, akisema jambo hilo likitokea timu hiyo ya wananchi itakuwa haishikiki msimu ujao. Babu Seya, mzaliwa wa DR Congo, ambaye ameishi Tanzania kwa miaka mingi, anasema yeye ni…

Read More

Je Urusi inaweza kuipeleka silaha Korea Kaskazini? – DW – 27.06.2024

Kiongozi wa Korea Kaskazini alisaini makubaliano ya kina ya ushirikiano wa kimkakati na Rais wa Urusi Vladmir Putin, wakati rais huyo alipoizuru Korea Kaskazini, wiki iliyopita. Makubaliano hayo yanahusisha kujizatiti na kujitolea kwa nchi hizo mbili kusaidiana pale mojawapo inaposhambuliwa. Huku kukiwa hakuna kipengele kinachoonyesha kubadilishana silaha, uvamizi wa Urusi nchini Ukraine, umeifanya Moscow kuwa karibu…

Read More

Mgomo wa wafanyabiashara waathiri ndoa, familia

Mwanza.  Mgomo wa wafanyabiashara wa maduka jijini Mwanza umeingia siku ya tatu huku waendesha maguta, madereva wa malori ya mizigo, mama lishe na wabeba mizigo wakihofia ndoa na familia zao kusambaratika kutokana na hali ngumu ya maisha. Mgomo huo ulianza Dar es Salaam Juni 24, 2024, ambapo wafanyabiashara walifunga maduka yao kushinikiza Serikali kuondoa utitiri…

Read More

Kanoute awatikisa mabosi Simba | Mwanaspoti

KIUNGO wa Simba, Sadio Kanouté ‘Putin’ yupo mguu ndani, mguu nje kuwepo katika kikosi hicho kwa msimu ujao baada ya kuwatikisa mabosi wa klabu hiyo kiasi kwamba mazungumzo baina yao ili kusalia kikosini kushindwa kupata muafaka. Kanoute tangu ajiunge na Simba mwaka 2021 akitokea klabu ya Al-Ahli Benghazi ya Libya iliyokuwa imemnunua kutoka Stade Malien…

Read More

WAZIRI MKUU ATAKA MIPANGO ENDELEVU YA UTAFUTAJI TEKNOLOJIA SEKTA YA MADINI

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Madini iendelee kushirikiana na wadau mbalimbali ndani na nje ya nchi katika kutafuta teknolojia mbalimbali za uongezaji thamani madini. Amesema kuwa kufanya hivyo kutawezesha madini yanayopatikana nchini kutumika katika kuzalisha bidhaa ambazo zinahitajika duniani kote kutokana na kuongezeka kwa mahitaji na kuendelea kuongezeka kwa idadi ya watu duniani….

Read More

Maagizo ya Makamu wa Pili wa Rais akiahirisha Baraza la Wawakilishi

Unguja. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Abdulla amesema Serikali inaendelea kuhakikisha inadhibiti bidhaa kupanda bei, ili kuwapunguzia makali ya maisha wananachi. Akiahirisha Mkutano wa 15 wa Baraza la Wawakilishi leo Alhamisi Juni 27, 2024 amesema uzoefu unaonyesha wafanyabiashara hupandisha bei kiholela. Ameutaka uongozi wa Wizara ya Biashara na Maendeleo ya Viwanda kufuatilia…

Read More

Joe master balozi mpya Sportpesa

KAMPUNI ya SportPesa imemtangaza mchekeshaji, Joe Master kuwa Balozi mpya kutangaza bidhaa za kampuni hizo. Joe Master analeta uzoefu na ujuzi mkubwa wa tasnia ya sanaa, utakaosaidia kukuza kampuni na bidhaa za Sportpesa. Akizungumza na Wanahabari jana jijini Dar es Salaam, Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano wa SportPesa, Sabrina Msuya, alisema; “Tunafuraha kuwa…

Read More