Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Kampuni ya kuuza nishati ya gesi ya kupikia majumbani ya Taifa Gas Limited imezindua mpango wake maalum unaotoa punguzo la
Month: June 2024

Unguja. Wakati Zanzibar ikizindua bohari ya kwanza ya kupokea na kusambaza gesi, Rais Hussein Mwinyi amewataka wananchi kuondokana na matumizi ya mkaa na kuni. Dk

*TAKUKURU Kuendelea kutoa elimu ili kuwaepusha watanzania na mkono wa sheria Na Leandra Gabriel, Dar es Salaam TAASISI Ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania

BINGWA wa mashindano ya CRDB Taifa Cup kwa upande wa wanaume na wanawake atazawadiwa kila moja Sh million 7. Hayo yalisemwa na Meneja wa Kanda

Dodoma. Serikali imekubali mapendekezo ya wabunge ya kuondoa ushuru ya Sh382 kwenye gesi asilia inayotumika katika magari. Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya

*Sloti ya Crazy Time Ongeza mzuka wa utajiri kupitia sloti ya Crazy Time, moja kati ya mchezo wa kasino ya mtandaoni unaofanya poa sana, washindi

WIKI hii Simba ilitangaza kuongeza mikataba ya nyota watatu wazawa wanaokichezea kikosi hicho ambao mikataba yao ya awali ilikuwa imefikia tamati mwishoni mwa msimu wa

Katika kutanua wigo wa safari zake za kimataifa, Kampuniya Ndege Tanzania (ATCL) iko kwenye maandalizi yakuanzisha safari za moja kwa moja kuelekea Muscat nchini Oman.

SEKTA ya huduma za fedha ni miongoni mwa sekta zinazokua kwakasi hapa nchini, huku ujumishaji wa watu katika huduma hizo muhimu za kiuchumi ukiongezeka.

BAADA ya kubaki Ligi ya Championship na kuachana na kocha wake, Seleman Kitunda mwishoni mwa msimu, Klabu ya Stand United inasaka kocha mkuu mpya na