SIO ZENGWE: Sakata la Fei Toto, Dube lifikirishe mamlaka

KIPINDI cha mavuno kwa wachezaji na mawakala au mameneja wao ndio kinaendelea duniani kote kwa sasa baada ya msimu wa soka wa 2023/24 kumalizika, hivyo kuruhusu wachezaji waanze kuangalia wapi kuna majani ya kijani zaidi. Lakini wapo wanaouguzia machungu ya kusaini mikataba kiholela baada ya kuhakikishiwa malipo mazuri ya bonasi ya kusaini (sign-on fee), mshahara…

Read More

Mapya ya Dk Nawanda na tuhuma za ulawiti mwanafunzi wa chuo

Dar es Salaam. Ukimya wa taarifa za mwenendo wa tuhuma zinazomkabili aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu (RC), Dk Yahaya Nawanda umewashtua wadau wa sheria, wakitaka upelelezi uharakishwe ili mtuhumiwa afikishwe mahakamani. Msisitizo wa wataalamu hao wa taaluma ya sheria, unatokana na kile walichofafanua kuwa ni mahakama pekee ndiyo yenye mamlaka ya kuamua iwapo mtuhumiwa…

Read More

Yusuf Manji afariki dunia | Mwanaspoti

TAARIFA zilizotufikia hivi punde ni kwamba aliyekuwa mwenyekiti na mfadhili wa klabu ya Yanga, Yusuf Manji amefariki dunia usiku wa jana huko Florida, Marekani. Mtoto wa marehemu, Mehbub Manji, amethibitisha kwa Mwanaspoti kuwa Manji amefariki saa 6 usiku wa kuamkia leo.  Endelea kutembelea tovuti na mitandao ya kijamii ya Mwanaspoti kupata taarifa zaidi juu ya…

Read More

Kinachomsibu Sativa akipatiwa matibabu Aga Khan

Dar es Salaam. Ripoti ya awali ya vipimo kutoka kwa madaktari wa Hospitali ya Aga Khan, jijini Dar es Salaam, imeonyesha Edgar Mwakabela maarufu kama Sativa, amepata mpasuko wa taya zilizosagika, huku baadhi ya mifupa ikionekana na mipasuko midogo. Sativa anayejishughulisha na biashara ya miamala ya fedha na michezo ya kubahatisha, alichukuliwa vipimo usiku wa…

Read More

Vikoba vyatajwa malezi mabovu kwa watoto

Katavi. Mjumbe wa Baraza Kuu la Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Taifa, Mariam Sagini amesema wanawake wengi wamesahau jukumu lao kubwa la kuzaa na kulea familia  kwa sababu ya vikundi vya kijamii vikiwamo vya vikoba. Amesema hali hiyo inachangia kuporomoka kwa maadili ya watoto na vijana nchini. Akizungumza katika Kikao cha Baraza la UWT Mkoa…

Read More

Serikali kudhibiti taarifa holela utaalamu wa kilimo

Arusha. Katika kukabiliana na taarifa zinazokinzana na zinazowachanganya wakulima kuhusu huduma za ugani, Serikali imeanza matumizi ya mfumo wa usajili na habari kidijitali, ili kuwawezesha wakulima kupata taarifa sahihi na za kuaminika. Mifumo hiyo iliyotolewa na Shirika la Chakula na Kilimo (FAO) inalenga kuendeleza mabadiliko ya kilimo kidijitali kote nchini, ikishughulikia changamoto kadhaa  ambazo zimekuwa…

Read More

Mfugaji wa Kimasai adaiwa kuua mtu kwa rungu Kilosa

Morogoro. Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Juma Nzigula, mkazi wa Peapea, Kata ya Ludewa, Wilaya ya Kilosa mkoani hapa, amefariki dunia baada ya kudaiwa kupigwa rungu kisogoni na mfugaji wa jamii ya Kimasai. Inadaiwa kuwa Mmasai huyo alimpiga Nzigula baada ya kudai kummulika kwa tochi usiku wakati akitoka kwenye majukumu yake. Akizungumza na Mwananchi…

Read More