SERIKALI KUWEKA MKAZO WA MAENDELEO VIJIJINI KUPITIA TARURA

Na. Catherine Sungura, Dodoma Serikali itaendelea kuweka mkazo wa kipekee katika kusukuma maendeleo vijijini kama njia sahihi ya kuchochoa uchumi jumuishi. Hayo yamesemwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Mhe. Prof. Kitila Mkumbo wakati wa kupitisha Mpango wa Maendeleo ya Taifa kwa mwaka 2024/2025 na Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka…

Read More

WADAU TANZANITE WAMPONGEZA SAITOTI – MICHUZI BLOG

Na Mwandishi wetu, Mirerani WADAU wa madini wa mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro mkoani Manyara, wamempongeza Mkurugenzi wa kampuni ya GEM & Rock Venture, Joel Saitoti kwa kufanya mnada wa madini kwenye eneo hilo hivyo kuwanufaisha kiuchumi. Kampuni ya GEM & Rock imeendesha mnada wa kuuza madini ya Tanzanite kwa wachuuzi wenye leseni kwenye…

Read More

‘Sativa’ apatikana akiwa na majeraha

Dar es Salaam. Mkazi wa Mbezi wilayani Ubungo, Edgar Mwakabela (27) maarufu katika mtandao wa X (zamani Twitter) kwa jina la Sativa anayedaiwa kutoweka Juni 23, 2024 amepatikana mkoani Katavi, akiwa na majeraha sehemu mbalimbali za mwili. Kwa mujibu wa taarifa zilizopo kwenye mitandao ya kijamii, Mwakabela amepatikana leo Alhamisi Juni 27, 2024 akiwa katika…

Read More

DC MGENI APIGA MARUFUKU WENYEVITI WA VITONGOJI NA VIJIJI KUPOKEA WAFUGAJI WAGENI KINYEMELA WILAYA YA SAME.

NA WILLIUM PAUL, SAME. MKUU wa wilaya ya Same Mkoani Kilimanjaro Kasilda Mgeni amewaonya Viongozi wa Serikali za Vijiji kuacha tabia ya kupokea wafugaji wageni kinyemela hasa kipindi cha kiangazi ambao ndiyo chanzo cha kutokea migogoro ya Wakulima na Wafugaji. Ametoa maelekezo hayo Kata ya Saweni akiwa kwenye muendelezo wa ziara zake za kusikiliza na…

Read More

ORYX GAS, VIGOR GROUP WAZINDUA BOHARI YA KUHIFADHI NISHATI YA GESI ZANZIBAR – MWANAHARAKATI MZALENDO

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amezindua  bohari ya kwanza ya kuhifadhi nishati ya gesi ya Oryx huku akizitaka kampuni zingine za gesi kuhakikisha wanaweka mikakati itakayowezesha kupungua kwa bei ya gesi ili waipate kwa gharama nafuu. Akizungumza  mbele ya wananchi wa Zanzibar baada ya kuzindua bohari hiyo ya…

Read More

Mauaji kisa wivu wa mapenzi, ukatili vyaundiwa mkakati

Dodoma. Bunge la Tanzania limeelezwa mikakati inayofanywa na Serikali kwa ajili ya kupambana na vitendo vya ukatili ikiwemo kutoa huduma za afya ya akili na msaada wa kisaikolojia kwa jamii na kutoa hifadhi ya dharula kwa manusura wa vitendo vya ukatili. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu,…

Read More

Dili la Lawi Simba laipa mzuka Copco

WAKATI Simba na Coastal Union zikiendelea kuvutana kuhusu usajili wa beki, Lameck Lawi aliyefanya vizuri msimu uliopita kwenye Ligi Kuu Bara, Klabu ya Copco imejivunia kumzalisha na kumkuza nyota huyo huku akiwapa mzuka wa kuzalisha vijana wengine. Lawi ambaye siku chache zilizopita alitangazwa kusajiliwa na Simba akitokea Coastal Union, ni zao la Copco ya Mwanza…

Read More

Vyakula vyenye virutubisho lishe ndio kila kitu kuukabili udumavu

Iringa. Jamii imeshauriwa kuondoa mitazamo tofauti kuhusu vyakula na mafuta vinavyoongezwa virutubisho ili kuondokana na changamoto za lishe katika mikoa mbalimbali, hasa ya Nyanda za Juu Kusini zenye idadi kubwa ya watoto wenye utapiamlo na udumavu. Ushauri huo umetolewa na Kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Hellen Chisanga wakati akizungumza na wanahabari mjini Iringa…

Read More