Maandamano zaidi yanukia Kenya, vijana wabadili kaulimbiu

Dar es Salaam. Licha ya Rais William Ruto kurudisha Muswada wa Fedha, 2024 bungeni, maandamano zaidi yanatarajiwa nchini Kenya leo Juni 27, 2024, huku waandamanaji wakitaka kwenda Ikulu kushinikiza kiongozi wa nchi hiyo ajiuzulu. Hiyo ni kutokana na hali ya hasira na kutoridhika miongoni mwa wananchi kuhusu hali mbaya ya kiuchumi na ongezeko la ushuru….

Read More

Kinachoendelea mgomo wa wafanyabiashara Dar, mikoani

Mikoani. Ikiwa ni siku ya nne tangu kutangazwa kwa mgomo wa wafanyabiashara nchi nzima, baadhi yao wameamua kufungua maduka na kuendelea na biashara kama kawaida huku wengine wakiendelea kuyafunga. Wafanyabiashara hao wameamua kugoma kuishinikiza Serikali kufanyia kazi malalamiko yao ambayo ni pamoja na kupunguza utitiri wa kodi na ushuru wanazolipa, unyanyasaji unaofanywa na maofisa wa…

Read More

MWENYEKITI WA CCM TANGA ACHUKIZWA NA UBABE WA WATENDAJI

Raisa Said,Handeni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Tanga Rajab Abdulrahman ameendelea kusisitiza viongozi kutekeleza agizo la Rais Dkt Samia Suluhu Hassan alilolitoa hivi karibuni kuwataka viongozi na watendaji wote kuacha kutumia mabavu kwa wananchi wanaowaongoza. Kali hiyo ameitoa wilayani Handeni katika ziara yake alipofika kukagua ujenzi wa Zahanati ya kijiji cha Kibaya kata ya Misima…

Read More

Profesa Janabi atua Arusha kuongeza nguvu kambi madaktari

Arusha. Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), Profesa Mohamed Janabi amewasili mkoani Arusha kwa lengo la kuongeza nguvu kwenye kambi ya madaktari bingwa na wabobezi inayoendelea jijini Arusha. Profesa Janabi amewasili usiku wa kuamkia leo ambapo leo Alhamisi Juni 27, 2024 ataungana na timu ya wataalamu wanaoendelea kutoa huduma na jukumu lake…

Read More

RC SAID MTANDA AIPONGEZA MSD KWA MAGEUZI YA KIUTENDAJI

Na Mwandishi Wetu MKUU wa Mkoa wa Mwanza Said Mtanda ameipongeza Bohari ya Dawa (MSD) kwa ugatuzi wa madaraka kwa Kanda zake nchini, kwani uamuazi huo utasaidia na kurahisisha upatikanaji wa bidhaa za afya kwa wakati. Mtanda ametoa pongezi hizo hapo jana, wakati akifunga kikao kazi baina ya MSD na Wateja wake wanaohudumiwa na Kanda…

Read More