Baadhi wafunga, wengine wafungua maduka Karikakoo

Dar es Salaam. Unaweza kusema kauli ya Mwenyekiti wa Wafanyabiashara Kariakoo jijini Dar es Salaam, Martin Mbwana ya kuacha uamuzi wa kufunga au kufungua maduka katika eneo hilo imetekelezwa kwa vitendo. Hiyo ni baada ya baadhi ya wafanyabiashara kuendelea na shughuli zao kama kawaida huku wengine wakiendelea kufunga. Ni mgomo ulioanza Jumatatu ya Juni 24,…

Read More

WADAU SEKTA YA UJENZI WAJENGEWA U UWEZO KUKABILIANA NA MIGOGORO KWA NJIA RAFIKI

Na Mwandishi Wetu Serikali kupitia Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) imejipanga kupunguza migogoro katika sekta ya ujenzi kwa kuwajengea uwezo wadau mbalimbali jambo ambalo litasaidia upatikanaji wa suluhishi kwa kutumia njia rafiki inayotoa fursa kwa pande mbili kuelewana bila kwenda Mahakamani. Akizungumza jijini Dar es Salaam wakati akitoa mafunzo maalum ya kuwajengea uwezo wa…

Read More

JIWE LA SIKU: Kibu na mkataba wa mtego Simba

ZAMANI ilikuwa ngumu kumuona mchezaji kutoka Bongo anakwenda mapumziko nchi kama Marekani, Ufaransa, Dubai na nyingine ila kwa sasa linawezekana kwani Ligi ya Tanzania imeanza kulipa vizuri na wachezaji wanapata mikwanja ya kwenda huko kula bata katika kipindi cha mapumziko kama ilivyo kwa mastaa tofauti ulimwenguni. Unavyosoma hapa, staa wa Simba, Kibu Denis yupo zake…

Read More

Waliohukumiwa kunyongwa kwa kumuua Mawazo waachiwa huru

Geita. Mahakama Kuu Kanda ya Geita imewaachia huru washtakiwa wanne waliokuwa wakikabiliwa na shtaka la kumuua kwa kukusudia aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo. Hukumu hiyo imetolewa juzi Juni 25, 2024 na Jaji wa Mahakama hiyo, Graffin Mwakapeje baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka kuona hana nia ya kuendelea na kesi hiyo. Washtakiwa…

Read More

RAIS SAMIA ANAGUSWA NA KUJALI MAISHA YA WAFANYAKAZI

   *Amenyanyua kikokotoo, Ndejembi asema huo ni mwanzo tu  Nukuu za Waziri wa Nchi, Ofisi yaWaziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Deogratius Ndejembi-Bungeni   “BajetiKuu ya Serikali ya Mwaka wa fedha 2024/2025 ambayo tunaenda kuipitishainaonyesha ni namna gani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt.Samia Suluhu Hassan anaguswa na…

Read More

Kipre Jr wa Azam huyooo USM Alger

BAADA ya kung’ara katika msimu wa pili wa kucheza katika Ligi Kuu Bara akihusika na mabao 18 akiwa na Azam FC, kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Kipre Jr hatakuwa sehemu ya kikosi msimu ujao baada ya uongozi wa timu hiyo kumuuza USM Alger kwa dau nono. Kiungo huyo aliyefunga mabao tisa na kuasisti tisa vile…

Read More