RAIS DKT. SAMIA ANAGUSWA NA KUJALI MAISHA YA WAFANYAKAZI

*Amenyanyua kikokotoo, Ndejembi asema huo ni mwanzo tu Nukuu za Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Deogratius Ndejembi- Bungeni “Bajeti Kuu ya Serikali ya Mwaka wa fedha 2024/2025 ambayo tunaenda kuipitisha inaonyesha ni namna gani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu…

Read More

Lina PG Tour: Vita ya fimbo yahamia Arusha

WAKALI 38 wanatarajiwa kuchuana katika mashindano maalumu ya kumuenzi Lina Nkya ya Lina PG Tour, kwenye viwanja vya Gymkhana, jijini Arusha, Julai 11 hadi 14, mwaka huu. Mashindano haya yanayoingia raundi ya tatu kati ya tano, yanamuenzi nyota huyo ambaye enzi za uhai wake alifanya kazi kubwa ya kuilea gofu ya wanawake kwa mafanikio hadi…

Read More

COSOTA WAISHUKURU MAHAKAMA, KESI KWENDA VIZURI

Afisa Mtendaji Mkuu wa Ofisi ya Usuluhishi Tanzania (COSOTA), Dorine Sinare akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam wakati wa kongamano la mafunzo wa Wadau wa mahakama na wengine kuhusiana na Hati miliki na alama za biashara kongamano hilo limefanyika katika ukumbi wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Saalaam. OFISI ya…

Read More

Moto Ligi U-17 kuwaka Leaders, Dar Gymkhana

Viwanja mduara vya Leaders na Dar es Salaam Gymkhana ndivyo vitaamua timu ipi ni bora katika Ligi ya Vijana chini ya umri wa miaka 17, jijini Dar esa Salaam wikiendi hii. Kwa mujibu wa msemaji mkuu wa chama cha kriketi nchini (TCA), Ateef Salim, ligi hii ina upinzani mkali kwani inajumuisha vijana wenye damu changa…

Read More

Malejendi watangaza kurudi mbio za magari

MADEREVA na waongozaji (navigators) wa timu Stado wametangaza kurudi mchezoni baada ya miaka saba ya ukimya na kutojihusha na mchezo huu pendwa. Samir Nahdi Shanto, mmoja wa madereva wa timu hiyo, akiongea na Mwanaspoti kutoka mjini Morogoro, alisema wanarudi tena mchezoni na safari hii wanakuja na mashine ya kisasa iitwao Ford Proto. “Stado Team wote…

Read More

IDD MOSHI: Chama anajua, ila Pacome anajua zaidi

MASHABIKI wa soka nchini kwa sasa wamekuwa na mjadala juu ya uwepo wa viungo washambuliaji, Clatous Chama wa Simba na Pacome Zouzoua wa Yanga. Wapo wanaosema Chama ni mkali zaidi kwa kazi kubwa aliyoifanya akiwa na Simba kwa zaidi ya misimu minne, kulingana na Pacome aliyecheza Ligi Kuu Bara kwa msimu wa kwanza. Kuna kila…

Read More

WANANCHI NYASA WAISHUKURU TANROADS KUANZA MATENGENEZO YA BARABARA YA UNYONI-LIPARAMBA-MKENDA

 Na Mwandishi wetu,Nyasa BAADHI ya wananchi wa vijiji vinavyopitiwa na barabara ya Unyoni –Liparamba  hadi Mkenda mpakani mwa Tanzania na Msumbuji wilaya ya Nyasa ,wameishukuru Serikali kupitia wakala wa barabara Tanzania(TANROADS)kwa kuanza ujenzi  wa barabara hiyo ambayo miundombinu yake imeharibiwa vibaya na mvua za masika. Leonald Kawonga mkazi wa Liparamba amesema,wakati wa masika barabara hiyo …

Read More

Simba mpya hii hapa, mastaa wapya wafichwa Dar

MWANASPOTI linajua Simba imekamilisha usajili wa winga matata Joshua Mutale (22) kutoka Power Dynamos ya Zambia kwa mkataba wa miaka mitatu na tayari imemshusha nchini, huku ikimficha kwenye moja ya hoteli za kifahari jijini Dar es Salaam. Unavyosoma hapa, vigogo wa usajili wa Simba chini ya Cresentius Magori wamemshusha pia kiungo, Debora Fernandes Mavumbo kutoka…

Read More

Gamondi awaita Chama, Dube fasta

KUNA ujumbe ambao Kocha wa Yanga, Miguel Gamondi ameutuma kwa viongozi na wachezaji bila kujali wale wapya ambao wanatajwa kusajiliwa Prince Dube, kiungo Clatous Chama kila mmoja anatakiwa kufanya hivyo. Ujumbe ambao Gamondi ameutuma kisha fasta mabosi wa Yanga kuufikisha kwa mastaa hao ni kila mchezaji anatakiwa ahakikishe ikifika Julai Mosi awe hapa nchini kuanza…

Read More