Walimu wa Tanzania sasa kupimwa kama mawakili

Dar es Salaam. Ule mchakato wanaopitia wahitimu wa shahada za sheria, unaowataka kufanya mtihani maalumu, ili wafuzu kuwa mawakili, sasa umeangukia katika taaluma ya ualimu. Kutokana na hilo, wahitimu wa ngazi mbalimbali za taaluma ya ualimu, baada ya kuanza kwa mchakato huo, ili wawe walimu watapaswa kufanya mtihani maalumu wa kupima uwezo wao. Hiyo ni…

Read More

Mambo manne yatajwa kumaliza migomo ya wafanyabiashara Tanzania

Dar es Salaam. Wadau wa biashara na wanasiasa, wametaja mambo manne ambayo Serikali ya Tanzania ikiyatekeleza kwa ufanisi huenda ikapunguza changamoto ya migomo ya wafanyabiashara inayojitokeza mara kwa mara, hasa eneo la Kariakoo, jijini Dar es Salaam. Mambo hayo ni kuangalia upya sheria ya kodi, kupunguza kodi, kufanya majadiliano, Serikali kuyashughulia mambo wanayokubaliana na wafanyabiashara…

Read More

Chadema yakomalia hali ngumu ya uchumi, Mbowe agusia mgomo

Arusha. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema hali ya uchumi nchini inazidi kuwa mbaya na watu wengi wakipitia ugumu wa maisha. Kimesema wakulima wanakabiliwa na changamoto za kupanda kwa gharama za pembejeo na soko la mazao yao kutokuwa na bei nzuri, huku wanakutana wakikabiliwa na ukosefu wa malisho na huduma za mifugo kuwa ghali….

Read More

Mgomo wa wafanyabiashara waacha kilio kila kona

Dar/Mikoani. Saa 53 za mgomo wa wafanyabiashara ulioanza eneo la Kariakoo Dar es Salaam kabla ya kusambaa maeneo kadhaa nchini umeathiri mapato ya kada tofauti katika mnyororo wa biashara. Mgomo huo ulioanza alfajiri ya Jumatatu Juni 24, eneo la Kariakoo, hadi jana ulisambaa katika baadhi ya maeneo ya mikoa ya Mbeya, Mwanza, Iringa, Dodoma, Arusha,…

Read More

DAWASA yapeleka matumaini mapya Msumi

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es salaam (DAWASA) imeanza  kutekeleza kazi ya uchimbaji visima katika eneo la Mbezi- Msumi Kata ya Mbezi ikiwa ni maagizo ya Naibu Waziri wa Maji, Mhandisi Kundo Mathew katika ziara yake aliyoifanya mkoan Dar es salaam katika Wilaya ya Ubungo hivi karibuni. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Katika…

Read More

Wachuuzi wapandisha bei mgomo ukiendelea, wananchi walalama

Mbeya. Athari ya mgomo wa wafanyabiashara wa maduka jijini Mbeya imeanza kuonekana kwa wananchi kuabza kulalamikia bei ya bidhaa kupanda. Inaelezwa vifaa na bidhaa zilizopanda bei ghafla ni vifaa vya shule ambavyo sasa wazazi wananunulia watoto wao kutokana na msimu za likizo kueleka kumalizika. Shule mbalimbali na msingi na sekondaro zinatarajiwa kufunguliwa kuanzia Julai mosi,…

Read More