Sengerema yapoteza Sh61 milioni kusuasua ujenzi wa vibanda
Sengerema. Halmashuri ya Sengerema inapoteza zaidi ya Sh61milioini kila mwaka kutokana na kutokukamilika kwa ujenzi wa vibanda ya stendi kuu ya mabasi iliyoko Bukala mjini Sengerema kutokukamilika. Hiyo ni moja ya hoja tano zinazowasilishwa na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwenye kikao cha baraza la madiwani la Halmashauri ya Sengerema. Diwani wa Tabaruka,…