
OPAH Kwake ni soka na biashara
MIONGONI mwa wachezaji wanaolijua lango vizuri kwa upande wa soka la wanawake, Opah Clement yupo kwenye listi hiyo. Mshambuliaji huyo wa zamani wa Simba Queens kwa sasa anaichezea klabu ya Besiktas inayoshiriki Ligi Kuu ya wanawake nchini Uturuki na ndio nahodha wa timu ya taifa ya wanawake, Twiga Stars. Hadi anaondoka nchini kujiunga na klabu…