OPAH Kwake ni soka na biashara

MIONGONI mwa wachezaji wanaolijua lango vizuri kwa upande wa soka la wanawake, Opah Clement yupo kwenye listi hiyo. Mshambuliaji huyo wa zamani wa Simba Queens kwa sasa anaichezea klabu ya Besiktas inayoshiriki Ligi Kuu ya wanawake nchini Uturuki na ndio nahodha wa timu ya taifa ya wanawake, Twiga Stars. Hadi anaondoka nchini kujiunga na klabu…

Read More

Nimesikitishwa na uamuzi wa Msigwa

MJUMBE wa Kamati Kuu Chadema, Godbless Lema ameeleza kushtushwa na kusikitishwa na uamuzi wa aliyekuwa kada mwenzake wa cha hicho, Mchungaji Peter Msigwa kuhamia Chama Cha Mapinduzi CCM. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Lema ambaye pia alikuwa Mbunge wa zamani wa Arusha Mjini na Mwenyekiti wa Chadema kanda ya kaskazini, kupitia ukurasa wake wa mtandao wa…

Read More

Mpina kuwaburuza kortini Spika Tulia, Waziri Bashe

Dar es Salaam. Baada ya ukimya wa siku sita tangu alipoadhibiwa kutohudhuria vikao 15 vya Bunge, Mbunge wa Kisesa (CCM), Luhaga Mpina ametangaza mpango wa kuwaburuza mahakamani Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson. Pamoja na Dk Tulia, mbunge huyo amesema hatua kama hizo atazichukua dhidi ya Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe, Bodi ya Sukari Tanzania…

Read More

Wabongo, Wakenya wakabana magari | Mwanaspoti

ITAKUWA ni mchuano mkali kati ya madereva wa Tanzania na Kenya katika mwezi huu wakati harakati za kuwaleta nchini washiriki kutoka Mombasa zikifikia hatua ya kuridhisha. Kwa mujibu wa waandaji kutoka Klabu ya Mount Usambara, kuna mchakato wa kuwaleta Tanga madereva bingwa kutoka Mombasa nchini Kenya na kwa mujibu wa mwenyekiti wa klabu hiyo, Hussein…

Read More

Mchungaji Msigwa ajiunga CCM | Mwananchi

Dar es Salaam. Aliyekuwa mwenyekiti wa Chadema kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa amejiunga na Chama cha Mapinduzi (CCM) na kutambulishwa katika kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC). Mchungaji Msigwa aliyewahi kuwa mjumbe wa kamati kuu ya Chadema, ametambulishwa leo Jumapili Juni 30, 2024 katika kikao hicho kilichofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam,…

Read More

TETESI ZA USAJILI BONGO: Yanga, Pacome kumaliza utata

MABOSI wa Yanga wanadaiwa wapo kwenye mazungumzo ya kumuongezea mkataba mpya kiungo nyota wa timu hiyo, Pacome Zouzoua. Kiungo mshambuliaji huyo raia wa Ivory Coast alijiunga na timu hiyo Julai 19 mwaka jana akitokea Asec Mimosas ya nchini kwao na amebakisha mkataba wa mwaka mmoja, hivyo kuzivutia klabu mbalimbali za ndani na nje ya nchi…

Read More

Mwanafunzi Veta abuni mashine ya makuzi ya watoto njiti

Dar es Salaam. Katika kusaidia makuzi ya watoto njiti na kukabili changamoto zao, mwanafunzi wa Chuo cha Mafunzo na Ufundi Stadi (Veta), George Nyahende, amebuni mashine ya kuwakuzia watoto hao yenye mzani, mpira wa gesi na taa za kusaidia kupambana na magonjwa ya ngozi. Mashine hiyo itaondoa usumbufu wa watoto kutolewa kila wanapokutana na changamoto…

Read More

WAZIRI ULEGA ATETA NA MAKAMU WA RAIS

      Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ambaye ni Mlezi wa CCM Mkoa wa Pwani akijadiliana jambo jambo na Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega katika Harambee ya kuchangia Ujenzi wa Jengo la…

Read More

KMC yaipiga bao Simba kwa Stopper

KLABU ya KMC imekamilisha uhamisho wa aliyekuwa beki wa kati wa KVZ ya Zanzibar, Salum Athuman ‘Stopper’ baada ya nyota huyo aliyekuwa pia anawindwa na Simba kuamua kujiunga na miamba hiyo ya Kinondoni kwa mkataba wa miaka miwili. Taarifa kutoka ndani ya timu hiyo zimeliambia Mwanaspoti kwamba, beki huyo tayari amekamilisha uhamisho wake na wakati…

Read More

Kura mbili zamhamishia Mch. Msigwa CCM

Aliyekuwa Mbunge wa Iringa Mjini na mjume wa zamani wa kamati Kuu ya Chadema, Mchungaji Peter msigwa leo tarehe 30 Juni 2024 amejiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kupokelewa na Samia Suluhu Hassan ambaye ni Mwenyekiti wa Chama hiko na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Msigwa amepokewa katika…

Read More