Afisa Mtendaji Mkuu wa benki ya Access Afrika Oluseyi Kumapayi akutana na kufanya mazungumzo na Gavana wa Benki Kuu Tanzania Emmanuel Tutuba

Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania Emmanuel Tutuba (katikati) akimsikiliza kwa makini Afisa Mtendaji Mkuu wa benki ya Access Afrika Oluseyi Kumapayi wakati alipofanya ziara ya kikazi kwenye ofisi za BoT Jijini Dar es Salaam hapo jana. Hivi karibuni, benki ya Access ilitangaza kukamilisha utaratibu wa kuinunua African Banking Corporation (Tanzania) Limited (“BancABC Tanzania” au…

Read More

Gaza inakabiliwa na karibu kuvunjika kwa sheria na utulivu.

Machafuko yanatanda Gaza huku makundi ya wasafirishaji wa magendo yakiunda na kuongeza ugumu katika kutoa misaada, mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi wa Kipalestina alisema Jumanne. Kamishna Mkuu wa UNRWA Philippe Lazzarini alisema imekuwa “ya kusikitisha” kutoa msaada na akatoa wasiwasi kwamba hali kama hiyo itaathiri juhudi za kukabiliana na hatari…

Read More

Kwenye Masumbwi umri ni namba tu

CALIFORNIA, MAREKAN: KWENYE mchezo wa ngumi, ubingwa wa uzito juu (Heavy Weight Champion), ndiyo unaopewa heshima kubwa zaidi. Wengi wameupata lakini wakiwa vijana kwani inahitaji nguvu na akili nyingi kuweza kufanikisha hilo. Lakini sio tu vijana wanaofanikisha hilo, historia inaonyesha hata mabondia wenye umri mkubwa nao wamewahi kushinda ubingwa huu, tena mbele ya vijana. Hawa…

Read More

TETESI ZA USAJILI BONGO: Ibrahim Abraham awindwa Pamba Jiji

BAADA ya kutangaza kuachana na mastaa wao walioipandisha timu hiyo, uongozi wa Pamba Jiji FC unawinda saini ya Ibrahim Abraham. Beki huyo wa kushoto wa Tanzania Prisons ambaye anamudu kucheza nafasi tatu uwanjani yupo kwenye hatua nzuri za kukamilisha dili hilo kwa mkataba wa miaka miwili.Charity James BEKI wa kati, Ismail Mgunda aliyemaliza mkataba na…

Read More

BALOZI MBUNDI AONGOZA KIKAO CHA NDANI CHA MAANDALIZI YA MKUTANO WA MAKATIBU WAKUU WA EAC

Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki-anayeshughulikia masuala ya Afrika Mashariki, Balozi Stephen Mbundi ameongoza kikao cha ndani cha maandalizi ya mkutano wa Makatibu Wakuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kilichofanyika tarehe 25 Juni, 2024 jijini Arusha. Kikao hicho cha ndani pamoja na masuala mengine kimepitia agenda, taarifa na…

Read More

Siri imevuja usajili wa Simba 2024/25, Mutale atua Dar

SIMBA inaendelea kusuka kikosi chake kimyakimya huku ikielezwa kwamba kati ya mastaa 12 wa kigeni waliomaliza na kikosi hicho msimu wa 2023-2024, ni nyota watatu tu wanaobaki kwa ajili ya msimu ujao. “Je wanaokuja wataweza kweli!” Hilo ndilo swali unaloweza kujiuliza kuhusiana na timu hiyo kwa msimu ujao. Katika wachezaji hao watatu wa kigeni wanaobaki…

Read More

Yanga yashusha kiungo kutoka Wakiso Giants

KUNA kifaa kipya kinashushwa na Yanga leo Jumatano kutoka nchini Uganda kwa ajili ya mchakato wa kujiunga na timu hiyo msimu ujao. Huyu si mwingine bali ni Hassan Ssenyonjo. Uamuzi huo ni katika kuimarisha kikosi cha mabingwa wa Ligi Kuu Bara ambao wamepanga kuanza kukutana Julai Mosi, mwaka huu kwa ajili ya kuanza kambi. Kifaa…

Read More

Mambo manne yaliyowakuta Jesca, Egina Afrika Kusini

WIKIENDI iliyopita mabondia Jesca Mfinanga na Egine  Kayange walikuwa na vibarua vya mapambano ya kimataifa nchini Afrika Kusini ambayo yalifanyika katika jiji la Johannesburg. Katika mapambano hayo, Jesca alikuwa na kibarua  cha kuwania mkanda wa Ubingwa wa Afrika ‘ABU’ katika uzani wa fly dhidi ya Simangele Hadebe wa Afrika Kusini, pambano la raundi kumi wakati…

Read More