Wanafunzi 100 wanolewa programu ya uongozi

Dar es Salaam. Wanafunzi 100 kutoka shule za sekondari nchini, wameanza kunolewa kupitia programu ya uongozi kwa vijana (Beginit), iliyotajwa kuwa chachu ya mabadiliko katika uongozi wa kijamii hapo mbeleni. Wadau wa maendeleo wanaoendesha mradi huo, wamebainisha kuwa wataendelea kushirikiana na Serikali kutoa mafunzo ya uongozi kwa vijana lengo likiwa ni kuwajengea uwezo wa kutambua…

Read More

NEMC: Lipeni ada ya tathmini ya mazingira kwa wakati

Dar es Salaam. Baraza la Taifa la Uhifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limewataka watathmini mazingira na wawekezaji kulipa Ada za Tathmini ya  Mazingira (EIA) katika wakati uliopangwa ili kutekeleza miradi yao kwa kuzingatia sheria za mazingira. NEMC imesema muda unaotakiwa kulipwa ada na tozo hiyo kisheria ni kuanzia Julai mosi hadi Desemba 31 kila…

Read More

Tanzania kusaka Sh261 bilioni kila mwaka nchini Uturuki

Dar es Salaam. Tanzania imeweka lengo la kuvutia mitaji ya Sh261 bilioni kila mwaka kutoka kwa wawekezaji nchini Uturuki kupitia sekta kadhaa za uwekezaji, ikiwamo kilimo. Ili kufikia malengo hayo, Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kimeingia mkataba wa makubaliano ya ushirikiano na Kampuni ya Africapital Investiment Holding Limited ambayo itafanya kazi ya kuvutia mitaji na…

Read More

Zawadi za Washindi wa NMB Pesa Zawafikia Mtaani Kwao!

Mwandishi Wetu, Dodoma. WASHINDI wa Kampeni ya Weka, Tumia na Ushinde Kutoka Benki ya NMB, jana walikabidhiwa zawadi huku umati mkubwa wa wakazi wa Dodoma ukishuhudia tukio hilo. Kutolewa kwa zawadi hizo ni hitimisho la Kampeni hiyo ya miezi mitatu iliyofikia mwisho wake Mei mwaka huu ambapo zawadi mbalimbali zenye thamani ya zaidi ya Sh250…

Read More

Teknolojia ilivyosaidia kuongeza idadi ya faru nchini

Dar es Salaam. Wizara ya Maliasili na Utalii imesema idadi ya faru imeongezeka kutoka 161 mwaka 2019 hadi kufikia 253 mwaka jana kutokana na matumizi ya teknolojia ya ulinzi waliyowekewa iitwayo Transmitters. Hayo yamebainishwa hii leo Jumanne ya Juni 25, 2024 katika warsha iliyoandaliwa na Shirika la Uhifadhi wa Mazingira Duniani (WWF), iliyowakutanisha wataalamu wa…

Read More

GRIDI YA TAIFA KUMALIZA TATIZO LA UMEME RUKWA

-Kituo cha kupoza umeme kujengwa Nkansi-Maeneo 1,500 yaliyofanyiwa mapitio yamekidhi vigezo kulipia 27,000/- Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesema changamoto ya umeme katika Mkoa wa Rukwa itamalizika baada ya Mkoa huo kuunganishwa katika Gridi ya Taifa kupitia Mradi wa njia ya kusafirisha Umeme wa Msongo wa Mkubwa wa Kilovolti 400 wa Tanzania –…

Read More