Jeshi la Polisi Mwanza latoa kauli mgomo wa wafanyabishara

Mwanza. Wakati baadhi ya wafanyabiashara jijini Mwanza wakigoma na kufunga maduka, Jeshi la Polisi limewataka walioridhia kufungua maduka na wafanye biashara kwa amani kwa kuwa ulinzi umeimarishwa. Kauli hiyo imetolewa leo Jumanne Juni 25, 2024, na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wilbroad Mutafungwa baada ya kufanya doria yenye lengo la kuangalia hali ya usalama…

Read More

RUNGU LA DC SAME KUWASHUKIA WAZAZI WANAOTUMIA KESI ZA UKATILI WA KIJINSIA KWA WATOTO KAMA MTAJI KULIPANA FEDHA.

NA WILLIUM PAUL, SAME. MKUU wa Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro Kasilda Mgeni amewaonya baadhi ya wazazi wanaotumia kesi za ukatili wa kijinsia kwa watoto kama mtaji kulipana fedha pindi anapofanyiwa ukatili. Amewataka kuacha mara moja tabia hiyo kwani kufanya hivyo kunapelekea kuathiri saikolojia na afya ya mtoto pamoja na kumfanya ashindwe kutimiza ndoto zake….

Read More

Mgomo wa kufungua maduka wafika Mwanza, Mbeya

Dar/Mikoani. Wakati mgomo wa wafanyabiashara eneo la Kariakoo, Dar es Salaam ukiingia siku ya pili leo, umeungwa mkono na wengine wa mikoa ya Mbeya na Mwanza. Hata hivyo, katika maeneo hayo, baadhi ya wafanyabiashara wamefungua maduka na kuendelea na biashara kama kawaida. Kuendelea kufungwa kwa maduka katika eneo la Kariakoo, mbali ya kuwaathiri wateja, pia…

Read More

EWURA YATOA MAFUNZO YA ELIMU KWA UMMA JUU YA WAJIBU NA MAJUKUMU YA EWURA KWA VIONGOZI NA WADAU KANDA YA KATI 

MENEJA wa Uhusiano na Mawasiliano  Mamlaka  ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) Titus Kaguo,akitoa elimu kuhusu  majukumu ya EWURA wakati wa semina kwa Viongozi,Wadau pamoja na wajasiliamali Mkoa wa Dodoma kuhusu Mafunzo ya Elimu kwa Umma Juu ya Wajibu na Majukumu ya EWURA iliyofanyika leo Juni 25,2024 jijini Dodoma na kuandaliwa  na…

Read More

Mgomo kufungua maduka wafika Mwanza, Mbeya

Dar/Mikoani. Wakati mgomo wa wafanyabiashara eneo la Kariakoo, Dar es Salaam ukiingia siku ya pili leo, umeungwa mkono na wengine wa mikoa ya Mbeya na Mwanza. Hata hivyo, katika maeneo hayo, baadhi ya wafanyabiashara wamefungua maduka na kuendelea na biashara kama kawaida. Kuendelea kufungwa kwa maduka katika eneo la Kariakoo, mbali ya kuwaathiri wateja, pia…

Read More

USAFIRI WA BASI KUTOKA JOHANNESBURG AFRIKA KUSINI HADI TANZANIA NDIO UNAOONGOZA KUUNGANISHA NCHI ZOTE ZA SADC

Na Zainabu Hamis, Habari njema zenye kuleta matumaini kwa wasafiri wanaotumia Bus kutoka Dar es Salaam Tanzania hadi Johannesburg ,Afrika Kusini kwa Mzee Madiba, kampuni ya kizalendo ya Usafirishaji Tanzania Mkombe Logistics yenye makao yake mjini Johannesburg,South Africa ambayo kwa sasa ndio inayo safirisha abiria kwa kutumia mabasi yake Mkombe Luxury Bus kampuni hiyo imejikuta…

Read More

Serikali yajitwisha kero za mabaharia Tanzania

Bagamoyo. Serikali ya Tanzania imesema itazifanyia kazi changamoto na fursa zinazowakabili mabaharia nchini. Miongoni mwa changamoto hizo ni nyenzo dhaifu za kusimamia mambo ya bahari yaani mbinu zisizo za wazi na zenye kuakisi wakati uliopo. Ukosefu wa sera na kanuni za ajira za ubaharia na kuwepo kwa mifumo kandamizi za uwajiri wa mabaharia hususan katika…

Read More

DKT.DIMWA: AENDELEA NA ZIARA YAKE MKOA WA KASKAZINI UNGUJA

NA IS-HAKA OMAR,ZANZIBAR. NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Dkt.Mohamed Said Dimwa,amesema Serikali inakopa fedha kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo ya Wananchi wote na sio kwa maslahi ya watu wachache. Hayo ameyasema katika mwendelezo wa ziara yake wakati akizungumza na wanachama wa katika Tawi la CCM Mafufuni Jimbo la Bumbwini…

Read More

Daladala zote Dar ruksa kupeleka abiria ‘Sabasaba’

Dar es Salaam. Daladala za ruti zote jijini hapa zimeruhusiwa kupeleka abiria katika Maonyesho ya Biashara ya Kimataifa ya 48 maarufu Sabasaba yanayotarajiwa kuanza Juni 28 mwaka huu. Hayo yameelezwa kwenye taarifa ya Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Ardhini (Latra) iliyotolewa leo Juni 25, 2024 katika ukurasa wake wa Instagram. Akizungumza na Mwananchi kuhusu…

Read More