Kapombe apewa mwaka mmoja Simba

SIMBA imemuongezea mkataba wa mwaka mmoja beki wake wa kulia, Shomari Kapombe ambao ndani yake una kipengele cha akifanya vizuri ataongezewa mwingine. Mwanaspoti limepata taarifa za ndani kuhusiana na Simba kumsainisha Kapombe, hivyo wakati wowote kuanzia sasa klabu hiyo itatangaza kuendelea naye msimu ujao wa 2024-2025. “Tumemalizana na Kapombe, hivyo bado ni mchezaji halali wa…

Read More

Wanaume wa Kiorthodox waandikishwe jeshini – DW – 25.06.2024

Uamuzi huo wa mahakama umetolewa Jumanne na kuamua kwa kuwa hakuna sheria inayotofautisha kati ya wanafunzi wa seminari ya Kiyahudi na wanafunzi wengine walioandikishwa kujiunga na shule, mfumo wa utumishi lazima wa kujiunga na jeshi la Israel, unapaswa kutumika kwa Waorthodox wote kama vile raia wengine wowote. Awali, wanaume wa madhehebu ya Kiorthodox walikuwa wanaruhusiwa…

Read More

Fawe Tanzania yawanoa walimu tarajali Butimba usawa wa kijinsia

Na Mwandishi Wetu, Mwanza ILI kuhakikisha usawa wa kijinsia unazingatiwa kwa wanafunzi wa kike na kiume kuanzia elimu ya msingi mpaka chuo, Shirika la Wanawake Waelimishaji Afrika (Fawe) tawi la Tanzania limewajengea uwezo walimu tarajali katika mbinu za ufundishaji na ujifunzaji zinazozingatia usawa wa kijinsia. Mafunzo hayo ya siku tatu yamefunguliwa leo Juni 25, 2024…

Read More

Kigogo Baraza la Usalama wa Taifa afariki dunia

Dar es Salaam. Mratibu Msaidizi Baraza la Usalama wa Taifa, Brigedia Jenerali Vitalis Chakila amefariki dunia Jumapili Juni 23, 2024 akiwa na miaka 59. Taarifa za kifo cha Chakila zimetolewa leo Jumanne Juni 25, 2024 kupitia taarifa kwa umma iliyosainiwa na Kaimu Mkurugenzi wa Habari na Uhusiano wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi (JWTZ), Luteni…

Read More

TETESI ZA USAJILI BONGO: Zahera atua kwa Lomalisa Mutambala

BAADA ya kuitumikia Yanga kwa misimu miwili, beki Mkongomani, Joyce Lomalisa anatajwa kutua Namungo FC kwa ajili ya kuongeza nguvu kwenye kikosi hicho msimu ujao. Lomalisa awali alikuwa anatajwa kujiunga Simba lakini mambo yakaenda tofauti na sasa inaelezwa Namungo inayonolewa na Kocha Mkongomani, Mwinyi Zahera ina mpango wa kumpa mkataba wa miaka miwili staa huyo…

Read More