
Wananchi Zanzibar kununua umeme popote kidijitali
Unguja. Shirika la Umeme Zanzibar (Zeco) limeingia makubaliano na taasisi sita kwa ajili ya kuwasaidia wananchi kupata huduma hiyo popote kidijitali, kwa lengo la kuleta ufanisi na kuwaondolea wateja usumbufu. Akizungumza kwenye hafla ya kufikia makubaliano hayo leo Jumapili, Juni 30, 2024, Meneja wa shirika hilo, Haji Mohammed Haji amesema mbali na kuwaondolea wananchi usumbufu na…