STAMICO yajipanga kuwawezesha wachimbaji wadogo wa madini

Na Mwandishi Wetu,Mtanzania Digital Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) limeelezea Mipango yake ikiwemo kuendelea kuwawezesha Wachimbaji Wadogo wa Madini nchini, huku msisitizo ukiwekwa kwenye ununuzi wa mitambo na huduma za uchorongaji ili kuwasaidia kupata taarifa za miamba, hatimaye wachimbe kwa tija. Hayo yalielezwa Juni 24, 2024 na Meneja Uwezeshaji Uchimbaji Mdogo kutoka STAMICO Bw….

Read More

Wateja Dar wahamia Soko la Tandika

Dar es Salaam. Licha ya baadhi ya maduka kufungwa katika Soko la Tandika, wachuuzi wa bidhaa ndogondogo na wateja wamehamia sokoni hapo. Maduka hayo yamefungwa kutokana na mgomo wa wafanyabiashara ulioingia siku ya pili leo Juni 25, 2024 ukianzia eneo la Kariakoo. Katika Soko la Tandika kumekua na msongamano wa watu, kwa kiasi kikubwa wakiwa…

Read More

Shahidi aeleza namna watuhumiwa kesi ya Milembe walivyokamatwa

Geita. Shahidi wa 24 katika kesi ya mauaji ya aliyekuwa mfanyakazi wa GGMl, Milembe Suleman (43) aliyeuawa Aprili 26, 2023 kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali sehemu mbalimbali mwilini wake, ameieleza Mahakama namna walivyowakamata washtakiwa wanne wa kesi hiyo. Shahidi huyo, Coplo Hashimu ambaye ni askari upelelezi  kutoka Ofisi ya Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa…

Read More

Waandamanaji kadhaa wauwawa Kenya – DW – 25.06.2024

Sehemu ya maeneo ya bunge nchini Kenya yamechomwa moto wakati maelfu ya waandamanaji wanaopinga mswada tete wa fedha, walipovamia katika maeneo hayo. Wabunge waliokuwa ndani ya bunge, inasemekana walitoroshwa na kupelekwa sehemu salama. Hatua hiyo ya waandamanaji kuvamia maeneo ya bunge ni shambulizi la moja kwa moja kwa serikali ambalo halijawahi kuonekana kwa miongo kadhaa. …

Read More

Muasisi wa WikiLeaks hatimae aondoka London alikokuwa jela. – DW – 25.06.2024

Mwasisi wa mtandao wa WikiLeaks, uliotumika  kufichuwa siri kubwa kubwa za serikali za mataifa mbali mbali duniani, Julian Assange hatimae ameachiwa huru kwa dhamana, Jumatatu. Assange aliachiwa huru kwa dhamana kutoka jela yenye ulinzi mkali ya  Kusini Mashariki mwa London jana Jumatatu. Mkewe Stella Assange akionekana kushusha pumzi alisema hivi sasa mumewe ni mtu huru, …

Read More

Waandamanaji Kenya wataka muswada wa fedha wote uondolewe

Nairobi. Wakati Bunge la Kenya limepitisha marekebisho ya muswada wa fedha kwa mwaka 2024, maandamano yameibuka upya, waandamanaji wamevamia eneo la Bunge na kuchoma moto. Maandamano hayo yaliyoanza wiki mbili zilizopita, yalilenga kupinga vifungu vya muswada huo ambao wabunge 195 walipiga kura kupitisha muswada huo, huku 106 wakipiga kura kukataa sheria iliyopendekezwa. Baada ya maandamano…

Read More

FURSA YA ELIMU YA FEDHA YAWAFIKIA WANANCHI SHINYANGA.

Katibu Tawala wa Mkoa wa Shinyanga Prof. Siza Tumbo, akizungumza na watalamu wa kutoa elimu ya fedha kutoka Wizara ya Fedha, Benki Kuu ya Tanzania (BoT), na watumishi wengine wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, walipofika ofisini kwake kumweleza lengo la ujio wao na maeneo wanayotarajia kutoa elimu ya fedha katika Mkoa huo….

Read More