Ukishangaa ya Bocco, utayaona ya Chama

KATIKA maisha omba sana bahati. Kuna vitu huwezi kuvipata hadi uwe na bahati tu. Wakati mshambuliaji John Bocco akitangazwa Kustaafu soka, Clatous Chota Chama bado anagombewa na Simba na Yanga huku, Saido Ntibanzokinza hakuna anayemtaka. Inafurahisha kuona Bocco anastaafu wakati Chama akigombewa. Inasikitisha kuona mfungaji bora wa Simba kwa msimu wa pili mfululizo, Ntibazonkiza anaachwa…

Read More

UDSM and Oslo University Develop a Solution for Ethical Dilemmas in Healthcare Delivery in Tanzania

By Our Correspondent In Tanzania’s healthcare system, healthcare providers often face numerous ethical challenges when making decisions about treating patients. These challenges, which frequently lead to dilemmas, can sometimes result in patient deaths, particularly when patients refuse treatment. To address this issue, the University of Dar es Salaam, through its Department of Philosophy and Religious…

Read More

UDSM, OSLO vyaja na suluhisho la Mtanziko wa Kimaadili katika utoaji huduma za afya Tanzania

Na Faraja Masinde, Mtanzania Digital Katika mfumo wa afya wa Tanzania, watoa huduma za afya wanakutana na changamoto nyingi za kimaadili wakati wa kufanya maamuzi ya kutibu wagonjwa. Changamoto hizi, ambazo mara nyingi huleta mitanziko (dilemma), zinaweza kusababisha vifo kwa wagonjwa hasa pale wanapokataa matibabu. Ili kukabiliana na hali hii, Chuo Kikuu cha Dar es…

Read More

Kule NBA… Wembanyama ni mrefu, halafu kiatu chake balaa

NEW YORK, MAREKANI : LIGI ya Kikapu Marekani (NBA) ni maarufu na ndiyo mchezo wenye wachezaji wengi mabilionea duniani kuliko yote. Hii ni ligi ya watu wenye pesa zao. Kipato cha chini kwa mchezaji kwa mwaka ni takriban Dola 10 milioni ambacho anavuta supastaa Victor Wembanyama ‘Wemby’ anayeichezea San Antonio Spurs. Hata hivyo, Wembanyama ambaye…

Read More

Biteko aipongeza NMB kwa kuja na bima ya mifugo

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ameipongeza Benki ya NMB kwa kuanza kutoa bima ya mifugo inayolenga kupunguza hatari kwa wafugaji kote nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu, Pwani… (endelea). Bidhaa hii ya bima ni sehemu ya dhamira ya benki hiyo ya kuwalinda wafugaji dhidi ya hasara za kifedha zinazoweza kutokea kwa wafugaji…

Read More